Kuvumiliana JF

Status
Not open for further replies.
Kama mimi kosa liko wapi wakati niliomba msaada waleft ban kwenye akaunti hii na kweli yule niliye mwomba alifanya anachojua ban iliondolewa wakati imebakisha siku nne, nishatumia kifungo
Nikaomba basi mmerge account hizi hapo wameingia mitini na jana tena nimeomba
Fanyeni huruma Mhariri Moderator Maxence Melo
Wamefuta story ambayo nilikuwa naandika
 
HESHIMA ni pamoja nakutumia lugha nzuri bila kuwatusi watu hata kama hupendi hoja zake. Wengine humu ndani wana umri sawa na baba zenu. Great Thinkers gani hwajihshimu Wala kuheshimu mawazo ya mtu mwingine
Ustaarabu ni kitu cha bure kabisa Uungwana ni vitendo wala sio maneno watu wanapenda ugomvi☹️
 
We jamaa una ID mpaka motoni Naikumbyka uke ya shetani mkuu🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hapo sasa.
Nshacheka mim jamani.
Odo wake nawaza, siku nikipewa Ban narudi na ID ya kiume, tongoza wote ukiwemo wewe Opps nimesahau umeifunga yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hiyo inakuwa tit for tat, why mtu anifanye nipate Ban nazaa naye πŸ™†β€β™€οΈ
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…