Huna haja kuumizwa na yaliyopita mkuu ni kumbukumbu tuDa'Vinci wa kipindi hicho alikufanya nini?? Maana unaleta mambo ya miaka 6 iliyopita π€
Ubarikiwe mamaMkuu umegundua hilo nadhani nakuheshim zaidi ila hapo kwenye kuogopa hapana ni Allah pekee mwenye sifa ya kuogopewa
It appears you experienced and still undergoing tragedy trauma through his persona. Since it's not the first time you're mentioning this.Huna haja kuumizwa na yaliyopita mkuu ni kumbukumbu tu
Siku mods wakinipiga ban nitakwazika sana. JF ni sehemu ya kutolea stress zangu. Kuna nyuzi nikisoma nasogeza siku. .Picha la kutisha π
Kula chuma hichoView attachment 2579021
Nifundishe na mimi basi maana me bila ugomvi chakula hakishuki vizuriπ ban zilikua na arosto kinyaaaama. Mimi na ugomvi ni mafuta na maji hatuchangamani kabisa. Napenda mazingira ya amani kwenye kila kitu.
Kwani kati ya wanaume na wanawake wapi wanaongoza kupigwa ban?Kuna watu wanatabia mbaya nyie unakuta mtu umechangia mada vzuri Alf anakuja anakutukana sanasana wanaume wa hapa ndani.
Ety anakuimbia na taarabu jamani.
Inafikia hatua huwezi vumilia tena
Itabidi uwe na ID ya ziada maana ikitokea hvyo lazima uwe mpoleSiku mods wakinipiga ban nitakwazika sana. JF ni sehemu ya kutolea stress zangu. Kuna nyuzi nikisoma nasogeza siku. .
Huyo Umughaka mi simjui vizuri ila hao wengine najua tu lazima wamepigwa ban na mambo yao ya kichoko. Kuna moja nahisi ni punga sese na huyo mwingine anasaga na kukoboa kutokana na mada zake humu.1. mpwayungu village yuko banned
2. Ummughaka na story yake akinyi must die yuko banned
3. Cocastic yuko banned
Nimeona wengi kweli [emoji1787] Tujifunze kuwa na uvumilivu humu ndani Pamoja na kuwa hatufahamiani ila bado sisi ni wamoja JF ni yetu sote. .
π punguza taratibu utaacha kabisa, maugomvi sio ishu mwishowe ugombane na mtu ana meno makali akung'ate pua ing'oke bureNifundishe na mimi basi maana me bila ugomvi chakula hakishuki vizuri
For sure π―π―Nahisi kilichompoza best yangu alikuwa upande wa yule shoga costi wanamtetea π€¨
Kwann uwe na account moja jf huo ni ushamba πππππSiku mods wakinipiga ban nitakwazika sana. JF ni sehemu ya kutolea stress zangu. Kuna nyuzi nikisoma nasogeza siku. .
Hahaaaπ punguza taratibu utaacha kabisa, maugomvi sio ishu mwishowe ugombane na mtu ana meno makali akung'ate pua ing'oke bure