Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Kwanini usivumilie sasa, ukiona unamtusi mtu mapema kamuone doctor uko na ugonjwa wa akili.Kuna watu wanatabia mbaya nyie unakuta mtu umechangia mada vzuri Alf anakuja anakutukana sanasana wanaume wa hapa ndani.
Ety anakuimbia na taarabu jamani.
Inafikia hatua huwezi vumilia tena
We dada unavyofunga codes unanichekesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Eeeeh si naniiii alisema ety naniiii alimpa connection ya naniiii yule mtoa naniiii.
Alaf naniiii jana alikua anatafuta naniiii na wale wote kweny ule uzi.
Bantu Lady anajua.
Isijekua ukorofi ndio kula yako ilipo ukaacha ukafa na njaa 😂Hahaaa
Nitajitahidi kuwa mtoto mwema na kuacha ukorofi
😳😳😳😳😳 Eeeeeh EeeeehKwa hiyo tulikuwa tunatafutwa kwani uwongo kwamba ana super Gono🤪😄😄😄
Cha ukorofii on one and 2😀😁Eeeeh si naniiii alisema ety naniiii alimpa connection ya naniiii yule mtoa naniiii.
Alaf naniiii jana alikua anatafuta naniiii na wale wote kweny ule uzi.
Bantu Lady anajua.
Lakini ni vizuri wanaitendea haki mishahara yao
Kwa kweliWatanzania asilimia fulani wako na matatizo ya akili. Ndo maana matusi washachukulia kama sehemu ya maongezi afu mtu akikutusi anajikuta mjanja, kujitambua ni mzigo kwa Mwanadamu .
😅 naona unataka utoe remix ya wimbo wa madee-naniiiEeeeh si naniiii alisema ety naniiii alimpa connection ya naniiii yule mtoa naniiii.
Alaf naniiii jana alikua anatafuta naniiii na wale wote kweny ule uzi.
Bantu Lady anajua.
Bestiii we acha tu🤣Isijekua ukorofi ndio kula yako ilipo ukaacha ukafa na njaa 😂
Sio mwisho, itakua ni mwisho wa kuitumia gily. Hakuna mtandao naupenda kama huuWakinipa Ban ndio mwisho wa kuwa JF. Ila sio mkorofi I doubt I will be banned. .
Basi ongeza ila ukikutana na waliokuzidi usikimbie show 😅Bestiii we acha tu🤣
Kikubwa ladha ni ile ileNikitumia account inaonyesha nimeingia JF 2023 it will bother me Nakuwaje mgeni nyumbani 😃
Umughaka ukienda kwenye jukwaa la entertainment ni mfalme. Nyuzi zake kama ile ya Ally mpemba ni fire. Hebu mtafute ana story nzuri sana. .Huyo Umughaka mi simjui vizuri ila hao wengine najua tu lazima wamepigwa ban na mambo yao ya kichoko. Kuna moja nahisi ni punga sese na huyo mwingine anasaga na kukoboa kutokana na mada zake humu.