Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
- Thread starter
- #101
Johnnie Walker njoo huku uliahidi unagaw hela ya sikukuu😃Kiwanja nilinunua nikiwa na 20 yrs
Kwa hyo sa hv nakusanya pesa ya sikukuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Johnnie Walker njoo huku uliahidi unagaw hela ya sikukuu😃Kiwanja nilinunua nikiwa na 20 yrs
Kwa hyo sa hv nakusanya pesa ya sikukuuu.
Akiiiiiii, iam single, kwani intelli Nina ninininini😀😆😁Okay lkn siku nyingi sijakuona.
Nasikia ulikua Luna de miel.😂😂
Dah ukileta story jf unakula masimango mpaka basi😁,story zipo kibao tutaziletaUmughaka kuna story ameanzisha imautwa Akinyi must die. Katuachia arosto kali sana. Tunasubiri utuletee story mpya usituangushe.
Hivi ulipigwa life ban hakuna sehemu unaweza kuappeal.Nasikia mpwayungu bye bye hawez rudishw tena Kala life ban
Tatizo Mambo mengi, familia Ina nidai Hadi naona haya nikizingua.Kila siku wee huko single?
Nipo kwenye vyombo ukiona nachapia vunga maana wikiendi ndefu imeanzaHivi ulipigwa life ban hakuna sehemu unaweza kuappeal.
Vipi ukifungua kesi Mahakamani?
Wanasheria ni kuwapanga tu, ndio maana nauliza?Hii mpya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utaita wanasheria wako[emoji1787]
😄😄😄😄 Mademu wa zamani walikuwa wahahitaji mtu mwenye sifa,Haha aliyekuambia yule mwamba simoni wa kirene hakutaka asante ni nani? Yule jamaa alikuw anapenda sifa sana aonekane mbele ya mademu😃
Hivi leo hii mtoto kajikojolea kabebeshwa kind umeweka ndumbwe chalia godoro utamsaidia kubeba?
Naona bun zinatembea unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta uko kifungoni,vidole komaa kutype visivyo na maana😄Popoma apitishe mwezi kabsaa??View attachment 2579060
Embu lala kwazaJohnnie Walker njoo huku uliahidi unagaw hela ya sikukuu😃
Aisee wazee wa zamani wamekula mbususu kibao free nawaonea wivu kinoma😂Mademu wa sasa wanahitaj mtu mwenye hela😃 pochi kubwa
N nitakushushia mvua sasaiv y mangumiJohnnie Walker bado wewe unaonekana mkorofi sana
Dogo hebu tulia, hapa sio mpala miringu secondary SchoolN nitakushushia mvua sasaiv y mangumi
Siku hizi mpaka pochi itune ndo unagoa pisi Ila miaka iyo ya zamani swaga tu na vimaneno vya uongo na ukweri unakula mbususu kibaoKwamba wanapew bure tu kwa sababu wanakaribia kufa?