Kuvumiliana JF

Kuvumiliana JF

Status
Not open for further replies.
Sitasahau nilipigwa Ban ya miezi 7
View attachment 2579004
Duuuh aseee
Screenshot_20230407-003738~2.png
 
Nilifuta comment moja tu usiku. Asubuhi nakuta nishapewa tofali la tani 7. Mimi namkosi yaani nikifuta kitu tu mods hawa hapa.



Ilibidi nifungue ID nyingine ya Criston Cole ila nilipotoka kifungoni niliomba ziungwe maana siwezi tumia I'd 2
Inawezekana kuunganisha ID? Hili sikulijua

Kuna siku niligombana na chizi maarifa mods wakanipa onyo. Wenyew wanajua kuwa napenda amani😁
 
Mimi uzi wa kinyesi kwa sasa napita mbali maana seriuos nikichangia huwa nina maandishi makali na wale machetani kwa sasa wana kigroup chao huwa wanaitana kukushambulia🤨
Ni kweli kabisa ila mimi nimeweka ari siwezi kuvumilia aseeee ninajua uchungu wa mzazi wa ndugu na isitoshe hata wa muumba kwenye huu uchoko siwezi kuruhusu watu wajadili kama ni kitu cha kawaida hapana aseee


Ila adabu yao wameipata asee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom