Kakondele
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 238
- 214
Habari wana JF natafuta partner wakushirikiana nae kuvuna miti ya mbao aina ya mbula pamoja na mkaa shamba lipo sumbawanga ni ekari 8000
kigezo kikuu uwe na mashine ya kukatia miti lengo hasa ni kuvuna hiyo miti na kuanza shughuli za kilimo pamoja na kupanda miti mingine tuwasiliane kupitia 0765032151,
kigezo kikuu uwe na mashine ya kukatia miti lengo hasa ni kuvuna hiyo miti na kuanza shughuli za kilimo pamoja na kupanda miti mingine tuwasiliane kupitia 0765032151,