Tetesi: Kuvunja Kamati za Bunge: Spika aseme ukweli!

Tetesi: Kuvunja Kamati za Bunge: Spika aseme ukweli!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wiki iliyopita Spika alivunja baadhi ya Kamati za Bunge na kuziunda upya. Ikumbukwe kwamba kamati hizo zilivunjwa wakati vikao vya kamati vikiendelea sambamba na taasisi za serikali kuhojiwa mbele ya kamati.

Vyanzo vyangu vimeniambia kwamba wabunge wa kamati walizungukana na kuvuta takrima kwa maafisa masuuli. Wabunge ambao hawakuvuta walichachamaa na taarifa kumfikia spika ambaye alichukua hatua ya kuvunja kamati.

Hoja kwa Spika
Kwani sheria za kudeal na rushwa zimebadilika? Nikafikiri walitakiwa kukabidhiwa PCCB
 
Wiki iliyopita Spika alivunja baadhi ya Kamati za Bunge na kuziunda upya. Ikumbukwe kwamba kamati hizo zilivunjwa wakati vikao vya kamati vikiendelea sambamba na taasisi za serikali kuhojiwa mbele ya kamati.

Vyanzo vyangu vimeniambia kwamba wabunge wa kamati walizungukana na kuvuta takrima kwa maafisa masuuli. Wabunge ambao hawakuvuta walichachamaa na taarifa kumfikia spika ambaye alichukua hatua ya kuvunja kamati.

Hoja kwa Spika
Kwani sheria za kudeal na rushwa zimebadilika? Nikafikiri walitakiwa kukabidhiwa PCCB
Noma sana !
 
Wiki iliyopita Spika alivunja baadhi ya Kamati za Bunge na kuziunda upya. Ikumbukwe kwamba kamati hizo zilivunjwa wakati vikao vya kamati vikiendelea sambamba na taasisi za serikali kuhojiwa mbele ya kamati.
Kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge, kamati za Bunge huwa zina vunjwa na kuundwa upya from time to time, hivyo sababu ya kuzivunja na kuziunda upya sio lazima ziwe ni hiyo!.

Pili uwezeshaji wowote wa kamati hufanyika kwa kamati nzima by way of seminar, warsha, kongamano, facility visit, study tour or training trips abroad. Hii sio rushwa ni capacity building.
P
 
Tatizo letu tunalalama mno bilavya kufanya push back, tunahitaji katiba mpya ambayo madaraka ya speaker yatasukwa upya, haya ni madaraka makubwa sana kwa spika, spika anamfukuza mbunge, na bunge linaridhia hii sio safi
 
Wiki iliyopita Spika alivunja baadhi ya Kamati za Bunge na kuziunda upya. Ikumbukwe kwamba kamati hizo zilivunjwa wakati vikao vya kamati vikiendelea sambamba na taasisi za serikali kuhojiwa mbele ya kamati.

Vyanzo vyangu vimeniambia kwamba wabunge wa kamati walizungukana na kuvuta takrima kwa maafisa masuuli. Wabunge ambao hawakuvuta walichachamaa na taarifa kumfikia spika ambaye alichukua hatua ya kuvunja kamati.

Hoja kwa Spika
Kwani sheria za kudeal na rushwa zimebadilika? Nikafikiri walitakiwa kukabidhiwa PCCB

Waneshadakwa tayari
 
Kwa mujibu wa kanuni za kudumu za Bunge, kamati za Bunge huwa zina vunjwa na kuundwa upya from time to time, hivyo sababu ya kuzivunja na kuziunda upya sio lazima ziwe ni hiyo!.

Pili uwezeshaji wowote wa kamati hufanyika kwa kamati nzima by way of seminar, warsha, kongamano, facility visit, study tour or training trips abroad. Hii sio rushwa ni capacity building.
P
Ulisema hutaki ukuu wa wilaya sasa inakuwaje mkuu?!
 
Back
Top Bottom