bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,699
- 4,117
Habari zenu
Tukiwa hapa kijiweni Bamaga, tukipiga story mbili tatu anakuja jamaa Mshikaji wetu anayefanyia TBC ambapo Ni mmoja kati ya waendesha kipindi fulani...Baada ya kupiga story mbili tatu tumejikuta tunamwuliza kuhusu hili kundi baada ya kupotea ghafla katika ramani ya vichekesho.
Naye alichotujibu ni anasikia kundi limevunjika Kimyakimya kila mtu anapiga issue zake..
Kuna mwenye habari zaidi kuhusu Kuvunjika Kwa Group Hili???
Tukiwa hapa kijiweni Bamaga, tukipiga story mbili tatu anakuja jamaa Mshikaji wetu anayefanyia TBC ambapo Ni mmoja kati ya waendesha kipindi fulani...Baada ya kupiga story mbili tatu tumejikuta tunamwuliza kuhusu hili kundi baada ya kupotea ghafla katika ramani ya vichekesho.
Naye alichotujibu ni anasikia kundi limevunjika Kimyakimya kila mtu anapiga issue zake..
Kuna mwenye habari zaidi kuhusu Kuvunjika Kwa Group Hili???