Kuvunjiwa vioo vya magari na kuibiwa Laptops

Kuvunjiwa vioo vya magari na kuibiwa Laptops

landless

Member
Joined
Mar 6, 2009
Posts
81
Reaction score
9
Jamani,nipo stranded kama wiki tatu sasa zimepita tangu wamespray na kunivunjiwa kioo cha gari,ilikuwa siku ambayo sunami ingetokea,siku ambayo mvua ilinyesha sana hapa mjini,mida ya saa tatu usiku,maeneo ya UPANGA,NYUMA YA SCOUT WANAPAITA COCONUT PUB,nahisi jamaa walikuwa na Tax nyeupe,wameniibia begi langu,likiwa na laptop mbili(HP pavilion dv5 {imekufa display ya inch 14.5),toshiba),external harddisk aina ya SEAGATE(250MB),original driving licence,kadi 2 za benki(NBC and CRDB),camera (Sony)ya pink,documents za office,kazi za consulting nilizotakiwa kudeliver a week before sijaibiwa.Worse enough ni external HDD niliyokuwa naitumia kama the only back up,ambayo nilitembea nayo ili nikahifadhi data zangu nyingine toka kwa office ina back up of almost four years works done.Im almost broke!!!.Nimejaribu kufuatilia nimeambiwa kuna jamaa wanaweza kunipatia taarifa nzuri maeneo ya kariakoo au posta.Nimefuatilia kupitia jamaa yangu mmoja(1) ambaye alifanikiwa kupewa namba ya hao jamaa wa mishemishe(2) wa kariakoo,wakamwambia watampatia jibu,last time wamemjulisha kuwa huo mzigo upo kinondoni wanapouza/kuhifadhia vifaa vya dili kama hivi,hivyo wakamjulisha(1) kuwa wanafuatilia huko nijiandae kwenda kugomboa,lakini hii sasa ni wiki ya pili jamaa(2) mda mwingine hapatikani,mara ya mwisho alimjulisha jamaa huyu (1)yangu kuwa mda mwingine inabidi azime simu kwa sababu ya inshu zake zinamfanya anatafutwa sana.Hivi jana nimepita maeneo hayo nikaiona ile Tax nliyokuwa naihisi,ikiwa inaodoka nikaanza kuikimbiza,lakini ghafla ikakata kona na kuingia mitaani,nimeifuatilia usiku,kuna mahali ikawa imepotelea sikufanikiwa kushika namba za gari,sasa naona kama uwezekano wa kuvipata unazidi kuwa mgumu.So wadau plz anyone mwenye ushauri namna gani ya kufanya au mwenye experience kwenye hili au na maeneo haya ya COCONUT PUB naomba ushauri kitu gani kingine naweza kufanya nikavipata hivyo vitu,muhimu zaidi ni ile external HDD.
 
Dah pole sana ndugu yangu,hao Jamaa wanatia hasira sana kwakweli,waliwahi kumpiga Bro wangu Laptop 2(1 ilikuwa yangu) Modem 2,Xternal na zagazaga zingine za office muhimu kweli,tulijaribu kuwafuatilia sana kwa lengo la kuvilipia,hadi hiyo mitaa ya Kino tulielekezwa lkn hatufanikiwa kuvipata....lkn kwa ushauri wangu kwa jinsi unavyokwenda nao hao Jamaa usijaribu kutumia nguvu sana au hata kuonyesha dalili kuwa ukivipata utachukua hatua labda kwenda Polisi au vipi,wewe inabidi uwe mpole sana fatilia kwa nidhamu huku ukiwaahidi kuvilipia na kuishia zako unaweza ukavipata...eeh bwana hii ndo Tz yetu kuibiwa uibiwe wewe hlf kuvinunua hivyohivyo vitu ulivyoibiwa inabidi ubembeleze....am tired of this Country jamani.
 
Dah pole sana ndugu yangu,hao Jamaa wanatia hasira sana kwakweli,waliwahi kumpiga Bro wangu Laptop 2(1 ilikuwa yangu) Modem 2,Xternal na zagazaga zingine za office muhimu kweli,tulijaribu kuwafuatilia sana kwa lengo la kuvilipia,hadi hiyo mitaa ya Kino tulielekezwa lkn hatufanikiwa kuvipata....lkn kwa ushauri wangu kwa jinsi unavyokwenda nao hao Jamaa usijaribu kutumia nguvu sana au hata kuonyesha dalili kuwa ukivipata utachukua hatua labda kwenda Polisi au vipi,wewe inabidi uwe mpole sana fatilia kwa nidhamu huku ukiwaahidi kuvilipia na kuishia zako unaweza ukavipata...eeh bwana hii ndo Tz yetu kuibiwa uibiwe wewe hlf kuvinunua hivyohivyo vitu ulivyoibiwa inabidi ubembeleze....am tired of this Country jamani.

Thanks mkuu,ntafanya hivyo,unaweza nielekeza maeneo hayo ya Kinondoni ni wapi?
 
Kama ni wiki mbili czani kama utavipata hivyo vitu,pia je una evidence yeyote ya kukusuport police?
 
Aisee pole sana mdau! Kwa kweli inauma sana.... Tena ndo back up yenyewe wamebeba. Jaribu kufuata ushauri wa mdau hapo juu ili lengo lako litimie.
 
Pole sana mkuu kwanza nakushauri usitumie nguvu kuvitafuta vitu vyako kuwa mpole nenda nao taratibu wala usitumie polisi ukitumia polisi uwezekano wa kuvipata utakuwa mdogo jaribu kwenda pale round about ya upanga na jamhuri pale Azzam take away kuna vijana pale ndio dili zao town ongea nao taraatibu waambie mie tanunua tena huo mzigo.
 
Pole sana, inauma sana hii kitu.

Saidi Mwema na vijana wako najuwa wanapitia humu.

Songoro, najuwa kuwa wewe upo huko jikoni, ingawa huhusiki na hizi jinai, lakini huwezi kuwaambia hao manjagu wenzako?
 
Mkuu, umechukua namba ya hiyo gari?
 
pole mkuu,wiki mbili ni muda mrefu kidogo,hao jamaa kwa njaa zao sijui kama watakua bado na huo mzigo,ila usichoke, huwezi jua..
 
Pole sana kwa mkasa uliokusibu ambao kwa kweli unaweza kumpata yeyote yule, ila nakutahadharisha uwe mwangalifu wakati huu unapoendelea kufatilia vitu vyako. Uwe macho na matapeli wanaoweza kujitokeza wakautumia muda huu kujifanya wanawajua wahusika waliokuibia na kwa hivyo kuendelea kuzitafuna pesa zako kwa ulaghai. Mfano utaambiwa kuwa wezi tumewasiliana nao wanataka Shs.milioni moja, lete pesa tukavigomboe vitu, kumbe vile unaendelea kulizwa tu. Hamna kinachofanyika zaidi ya kuendelea kukulia pesa zako na kukupotezea muda tu. Waswahili hutuambia Mjini shule.
 
Pole sana mkuu,imeniuma utafikiri ndio mm. Jaribu kufata ushauri wa Ritz na Anselm,nenda nao taratibu. Pitia pitia hiyo mitaa ya Kinondoni na gari ingine sio ile waliyoivunja kama utaweza kuipata hata hiyo tax uliyoihisi uchukue hata no za gari. Cheki na wale jamaa wa pale Azam town wanaweza kukusaidia.
 
Pole sana, inauma sana hii kitu.

Saidi Mwema na vijana wako najuwa wanapitia humu.

Songoro, najuwa kuwa wewe upo huko jikoni, ingawa huhusiki na hizi jinai, lakini huwezi kuwaambia hao manjagu wenzako?

awaambie nini sasa hapo!!!!!!!!!
 
Dah pole sana ndugu yangu,hao Jamaa wanatia hasira sana kwakweli,waliwahi kumpiga Bro wangu Laptop 2(1 ilikuwa yangu) Modem 2,Xternal na zagazaga zingine za office muhimu kweli,tulijaribu kuwafuatilia sana kwa lengo la kuvilipia,hadi hiyo mitaa ya Kino tulielekezwa lkn hatufanikiwa kuvipata....lkn kwa ushauri wangu kwa jinsi unavyokwenda nao hao Jamaa usijaribu kutumia nguvu sana au hata kuonyesha dalili kuwa ukivipata utachukua hatua labda kwenda Polisi au vipi,wewe inabidi uwe mpole sana fatilia kwa nidhamu huku ukiwaahidi kuvilipia na kuishia zako unaweza ukavipata...eeh bwana hii ndo Tz yetu kuibiwa uibiwe wewe hlf kuvinunua hivyohivyo vitu ulivyoibiwa inabidi ubembeleze....am tired of this Country jamani.

Ngoja tuwawekee nyoka kwenye mabegi ndo watakoma. Haswa lile eneo la Tumaini hospt. upanga. Ndio sana wanaiba.
 
Pole sana kwa mkasa uliokusibu ambao kwa kweli unaweza kumpata yeyote yule, ila nakutahadharisha uwe mwangalifu wakati huu unapoendelea kufatilia vitu vyako. Uwe macho na matapeli wanaoweza kujitokeza wakautumia muda huu kujifanya wanawajua wahusika waliokuibia na kwa hivyo kuendelea kuzitafuna pesa zako kwa ulaghai. Mfano utaambiwa kuwa wezi tumewasiliana nao wanataka Shs.milioni moja, lete pesa tukavigomboe vitu, kumbe vile unaendelea kulizwa tu. Hamna kinachofanyika zaidi ya kuendelea kukulia pesa zako na kukupotezea muda tu. Waswahili hutuambia Mjini shule.

Thanks mkuu kwa ushauri mzuri,appreciate
 
Pole sana mkuu,imeniuma utafikiri ndio mm. Jaribu kufata ushauri wa Ritz na Anselm,nenda nao taratibu. Pitia pitia hiyo mitaa ya Kinondoni na gari ingine sio ile waliyoivunja kama utaweza kuipata hata hiyo tax uliyoihisi uchukue hata no za gari. Cheki na wale jamaa wa pale Azam town wanaweza kukusaidia.

Thanks kaka,mitaa ya kinondoni bado sijaijua ni wapi,ila ngoja niwacheki hawa jamaa wa Azam round about.
 
p ole sna mkuu,i cn feel the pain that ur going through. next time ucweke HDD Pamoja na laps. hyo ni back up yako ambayo itakusaidid pind laps yako iharibikapo na co kuharibika tu na kuibiwa km hvo. pole sana!
 
i ni muathirika wa kuibiwa maeneo ya hapo apo upanga mbaya zaidi mimi wameniliza vyeti vyote mpaka leo sijapigiwa simu wala nini
 
Pole. Tusitembee na vitu vyote muhimu. Back ups zibaki home. Its risky thing to do. Pole sana
 
Mimi najua hawa watu wapo na wanajulikana kabisa na serikali imeamua kuwaacha kabisa yani hapo ndio napata hasira sana na hii serikali chovu...pole kaka mimi nakuombea upate tu
 
Back
Top Bottom