Kuvuruga derby ya Simba na Yanga ni kuvuruga usalama wa Taifa na kuhujumu juhudi za Rais.

Kuvuruga derby ya Simba na Yanga ni kuvuruga usalama wa Taifa na kuhujumu juhudi za Rais.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.

Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.

Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.

Mchelea mwana kulia atalia yeye.
 
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.

Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.

Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.

Mchelea mwana kulia atalia yeye.
Usizungumze au kuandika mambo kijumla jumla kwa mapenzi yako...

Nani kakuambia kuwa watu wa taifa hili wote wamegawanyika ktk makundi mawili simba na yanga...?

Mimi sipo simba wala yanga na huwa sina hata taimu ya kufuatilia na kuumizwa na moja ya timu hizo. Wapo mamilioni ya watu wengine wala hata hawajui kama kuna timu ya mpira inaitwa simba au yanga. Kwa hiyo, statement yako ya "watu wote tumegawanyika aidha simba au yanga" sio ya kweli. Ni ninyi tu mliokwishaga logwa na mpira ndo mmegawanyika makundi hayo, na sio watu wote...!!

For instance, mimi nikikuta au kuwaona wanacheza, it's ok nitawaangalia na kuburudisha macho yangu kwa wakati huo na biashara inaishia hapo...

Lakini kuifanya simba au yanga kuwa ni dini yangu kiasi cha kuifuatilia kila siku kama Mungu wangu, HAPANA...
 
Kwa taarifa yako system ndiyo inapenda kuona mkivutana,mkijadili mambo ya simba yanga
Huko walipo wanacheka tu

Ova
 
why are you a gay ccm fan
IMG_0456.jpeg
 
Usizungumze au kuandika mambo kijumla jumla kwa mapenzi yako...

Nani kakuambia kuwa watu wa taifa hili wote wamegawanyika ktk makundi mawili simba na yanga...?

Mimi sipo simba wala yanga na huwa sina hata taimu ya kufuatilia na kuumizwa na moja ya timu hizo. Wapo mamilioni ya watu wengine wala hata hawajui kama kuna timu ya mpira inaitwa simba au yanga. Kwa hiyo, statement yako ya "watu wote tumegawanyika aidha simba au yanga" sio ya kweli. Ni ninyi tu mliokwishaga logwa na mpira ndo mmegawanyika makundi hayo, na sio watu wote...!!

For instance, mimi nikikuta au kuwaona wanacheza, it's ok nitawaangalia na kuburudisha macho yangu kwa wakati huo na biashara inaishia hapo...

Lakini kuifanya simba au yanga kuwa ni dini yangu kiasi cha kuifuatilia kila siku kama Mungu wangu, HAPANA...
tutahoji uraia wako, Afande CDF alisema kuna watu sio raia lakini wameshikilia madaraka makubwa katika ngazi za maamuzi. Usifiki CDF alikuwa kichaa kutoa taarifa ile. Inawezekana baadhi ya watu hao yumo wewe na wengine wamejichimbia TFF wanatafuta namna ya kulisukumiza taifa kwenye maafa kwakutumia michezo.
 
Kwa taarifa yako system ndiyo inapenda kuona mkivutana,mkijadili mambo ya simba yanga
Huko walipo wanacheka tu

Ova
nitakuwa wa mwisho kukubaliana na wewe. CCM ni Kikwete na Kikwete ni Yanga na yeye derby ilimuudhi pia. Unaongea CCM ya akina nani wewe?
 
tutahoji uraia wako, Afande CDF alisema kuna watu sio raia lakini wameshikilia madaraka makubwa katika ngazi za maamuzi. Usifiki CDF alikuwa kichaa kutoa taarifa ile. Inawezekana baadhi ya watu hao yumo wewe na wengine wamejichimbia TFF wanatafuta namna ya kulisukumiza taifa kwenye maafa kwakutumia michezo.
Haa haa🤪🤪🤪

Kwa sababu tu sijui kama kuna timu ya mpira inaitwa Yanga au Simba..?

Endelea kujihoji tu...

Lakini, the fact ni kuwa kuna mamilioni hata hawajui kama kuna timu ya mpira inaitwa Yanga au Simba...!!
 
Haa haa🤪🤪🤪

Kwa sababu tu sijui kama kuna timu ya mpira inaitwa Yanga au Simba..?

Endelea kujihoji tu...

Lakini, the fact ni kuwa kuna mamilioni hata hawajui kama kuna timu ya mpira inaitwa Yanga au Simba...!!
Fuvu limejazwa watermelon!! 🍉
 
Kuahirisha mechi ya yanga vs simba ni kinyume na kanuni.. ni kuhamisha mjadala wa nchi... pia rejea kikao cha ghafla NEC CCM.. yote ni itutoe kufuatilia na kujadili kifo na mazishi ya Prof Sarungi
 
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.

Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.

Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.

Mchelea mwana kulia atalia yeye.
Naunga mkono hoja. Nashangaa mpaka Sasa Bodi iko ofisini.
 
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.

Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.

Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.

Mchelea mwana kulia atalia yeye.
Faida za simba na yanga kwako binafsi ni zipi?😳
 
Watu wanabisha ila ukweli Simba na Yanga ni sehemu ya maisha yetu watanzania. Ambao hawako upande wowote ni wachache mno.
 
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.

Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.

Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.

Mchelea mwana kulia atalia yeye.
Vipi Yanga na Simba wangecheza Ile Machi 8, 2025, Mhe. SSH angetrend katika kilele cha siku ya wanawake pale Arusha?! Siku ya wanawake ingekuwa historia na story ingekuwa matokeo ya mechi ya Yanga na Simba.
CCM siyo wajinga kiasi cha kufelisha kampeni yao wenyewe?!🤣🤣🤣🤣🤣
 
Simba na Yanga ni project ya CCM kuwapumbaza Watanganyika ili muda wote wawe wanabishania Simba na Yanga tu huku wao maccm wakijipakulia minyama yaani kuitafuna keki ya Taifa bila bughudha.
 
Back
Top Bottom