kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Rais Samia amebadilisha uelekeo wa soka letu kwa kutia juhudi binafsi kusuma michezo Tanzania. Hakuna asiyefahamu kuwa watu wa taifa letu wamegawanyika kwenye ushabiki wa simba na yanga kwa mamilioni.
Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.
Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.
Mchelea mwana kulia atalia yeye.
Mtu kuahirisha mechi ya simba na yanga bila shaka anadhamiria yatokee mambo mabaya sana kwa taifa kisiasa, kimichezo, kiuchumi na kiusalama, hafai kuwepo hapo alipo kama yeye ni kiongozi wa mpira au serikali.
Lazima deep state ihangaike na watu hawa kama inavyohangaika na magaidi; maana iko siku watasababisha maafa makubwa sana nchini. Tusipende kusubiri yaharibike ndio tutoe vichwa vyetu mchangani.
Mchelea mwana kulia atalia yeye.