Kuvuruga derby ya Simba na Yanga ni kuvuruga usalama wa Taifa na kuhujumu juhudi za Rais.

DISHI LINGINE LINALOHITAJI FUNDI HASA Simba na yanga inavurugaje usalama wa Taifa katika masuala ya kitaifa vitu vinavyoleta mtafaruko ni 1.Vifo vya mara kwa mara 2. Hali ngumu ya maisha 3. Magonjwa
 
Chukua hii: ilikuwa ni siku ya wanawake duniani, raisi aalihutuba na Chadema/TAL alihutubia. Ujumbe ni NOREFORM NO ELECTION. Ili ujumbe wa lisu usisikike na kupokelewa na watanzania ahirisha mechi ili watu wajadili mechi badala ya ujumbe wa lisu.
 
Daaah kakaaa!!! mechi yenyewe ilikuwa tarehe 8 tena usku wa manane baada ya sherehe za Arusha kukamilika. Kuahirisha mechi ndio kungefunika kabisa sherehe yenyewe kama ni hivyo, maana tukio lile walizungumzwa sana kuliko hata matokeo yangekuwa. Simba kala uyonyaaa, kona, chaka, nyambui, duma, swala. Waliona bora lawama kuliko fedheha ya kufungwa mara 5 mfululizo; machale yaliwacheza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…