Kuvuta n'ge ili kufikia ulevi ni tatizo linalokua kwa kasi Asia

Kuvuta n'ge ili kufikia ulevi ni tatizo linalokua kwa kasi Asia

Wakiamua kujaribu ni juu yao, lakini tahadhari ni kwamba hiyo ni sumu na ina maumivu makali mwanzoni mwa matumizi yake, yaani zaidi ya masaa 6 ni maumivu tu.
Sasa si bora wawe wanadamshi na visungura kwani bei elekezi ni ndogo kuliko kuhangaika na ng'e
 
Mkuu hata mimi natamani sana kupata maelezo zaidi kwenye hili maana sijaelewa
Niliwahi kuona uzi wa mada hiyo, ila lengo kuu la hicho kitendo ni kulewa kwa haraka zaidi tofauti na kunywa kwa njia ya mdomoni.
 
Niliwahi kuona uzi wa mada hiyo, ila lengo kuu la hicho kitendo ni kulewa kwa haraka zaidi tofauti na kunywa kwa njia ya mdomoni.
😄😄😄ama kweli vijana wa kizazi hiki tabu mnazo! Kwahiyo ni kukosa hela ya kununua pombe nyingi ili ulewe au ni basi tu watu wanataka stim ya fasta??
Mbombo ngafu
 
Back
Top Bottom