Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nge mjini watawakuta wapiKwamba warudi mikoani kwenye mashamba ili wafuge nge au?
Waje Dodoma,ming'e ya kumwaga kwenye mapagale na vichakani!Hili lishakuwa somo, heroine na cocaine bei mbaya sana, nge wanapatikana kirahisi.
Watu wataanzisha mashamba ya kufuga nge wapige pesa.
Tukuhaku = tundu la kutolea haja kubwa.Wakati duniani wanalewa kwa nge, nyoka, vyura. Tanzania kumeingia ulevi wa kulewa kwa kutumia "duburi".
. Duburi = tundu la kutolea haja kubwa.
Sasa si bora wawe wanadamshi na visungura kwani bei elekezi ni ndogo kuliko kuhangaika na ng'eWakiamua kujaribu ni juu yao, lakini tahadhari ni kwamba hiyo ni sumu na ina maumivu makali mwanzoni mwa matumizi yake, yaani zaidi ya masaa 6 ni maumivu tu.
Visungura ndyo kimbilio lao, buku mbili tu wanalewaSasa si bora wawe wanadamshi na visungura kwani bei elekezi ni ndogo kuliko kuhangaika na ng'e
Huwa najiuliza wakivaa hizo taulo wanapita nazo barabarani au wanatulia tu ndaniNge mjini watawakuta wapi
Wakija vijijini kutafuta Nge watakuta mashamba yanawasubiri labda itasaidia waache kuloweka matarcle kwenye pombe
Mkuu kwani Lucas Mwashambwa kakukosea nini? Mwenyewe anasema hiyo tabia kazaliwa nayo na siyo kosa kisheriaUlevi mwingine katika nchi yetu ni Uchawa, kila kona vijana wanalewa kwa ulevi huu na kuwa kama wendawazimu
Sinamtaja mtu hapo, ila kama na yeye ni mmojawapo basi ni muhanga wa uraibu au ulevi wa Uchawa.Mkuu kwani Lucas Mwashambwa kakukosea nini?mwenyewe anasema hiyo tabia kazaliwa nayo ma siyo kosa kisheria
Mkuu hata mimi natamani sana kupata maelezo zaidi kwenye hili maana sijaelewaHuwa najiuliza wakivaa hizo taulo wanapita nazo barabarani au wanatulia tu ndani
Niliwahi kuona uzi wa mada hiyo, ila lengo kuu la hicho kitendo ni kulewa kwa haraka zaidi tofauti na kunywa kwa njia ya mdomoni.Mkuu hata mimi natamani sana kupata maelezo zaidi kwenye hili maana sijaelewa
😄😄😄ama kweli vijana wa kizazi hiki tabu mnazo! Kwahiyo ni kukosa hela ya kununua pombe nyingi ili ulewe au ni basi tu watu wanataka stim ya fasta??Niliwahi kuona uzi wa mada hiyo, ila lengo kuu la hicho kitendo ni kulewa kwa haraka zaidi tofauti na kunywa kwa njia ya mdomoni.
Lucas Mwashambwa ni Chawa namba moja wa machawa woteSinamtaja mtu hapo, ila kama na yeye ni mmojawapo basi ni muhanga wa uraibu au ulevi wa Uchawa.
Huko kuanza kunishambulia mimi binafsi ni kushindwa mada. Lilikupata nini dongo la kizani?We umeacha kwani kuliwa tackle???