Vijana wenzako huwaoni hadi ukatoke na mtu ambaye ameshatumia ujana wake wote anaelekea uzee....?!Ametokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?
Hawezi kwanza mzee mzima anawezaje kumudu demu ambaye amemzidi miaka zaidi ya 30Mzee akigundua anaanza kuwala wote wawili [emoji851]
Ametokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?
Nan kakuambia Mzee baba Mimi Ke?Vijana wenzako huwaoni hadi ukatoke na mtu ambaye ameshatumia ujana wake wote anaelekea uzee....?!
Matoto ya kike siku hizi ni majaalaana ptuuuuuuuuuuuuuuuh........ Hata aibu hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana wenzako huwaoni hadi ukatoke na mtu ambaye ameshatumia ujana wake wote anaelekea uzee....?!
Matoto ya kike siku hizi ni majaalaana ptuuuuuuuuuuuuuuuh........ Hata aibu hauna....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari ni kama mwanaume ana maumbile makubwa, ikiwa kinyume chake hakuna hatari yoyoteSalaam Wana JF, Je kuwa kwenye Mahusiano na mtu aliyekuzidi umri sana ni hatari? Na kama ni hatari Jamii ifanye vipi kuepuka hili?
Nawasilisha[emoji120]
Hapo inahitaji moyoAmetokea ana umri wa baba au Mama Je Kuna hatari yeyote?
Nilishakuwa naye ambaye mama yangu mzazi anamwita dada,mtoto wake wa kwanza ananizidi miaka nane.Umri ni namba tu ila asiwe tu umri wa baba yako au mama yako
😃😃Wewe fanya unavoona ni sawa kwako, kama umeamua kujibebea mstaafu wako beba tu.....
Kuwa makini na afya yako mkuu. Mzee kama huyo kinga kwake sio option na ana michepuko kadhaa.Kuna dogo ana miaka 19 anadate na mzee wa miaka 50 alikuwa ananisimulia kwamba anaona aibu hata kusimama nae hadharani hizi hela zitakuja kuua mtu
Sema mm nataka nianze nae mahusiano tuwe tunazila hela za mzee
Hawezi kwanza mzee mzima anawezaje kumudu demu ambaye amemzidi miaka zaidi ya 30
Ushasema umri ni namba tayari ..ila asiwe tu na umri wa wazazi wako maana yake hapo umepinga kauli yako tenaUmri ni namba tu ila asiwe tu umri wa baba yako au mama yako
kama nilivyoandikaUshasema umri ni namba tayari ..ila asiwe tu na umri wa wazazi wako maana yake hapo umepinga kauli yako tena
Which is which ?
Kwan akiwa HVO inakuaje?Umri ni namba tu ila asiwe tu umri wa baba yako au mama yako