Kuwa kwenye Mahusiano na mtu anaekuzidi umri sana ni hatari?

Kuna dogo ana miaka 19 anadate na mzee wa miaka 50 alikuwa ananisimulia kwamba anaona aibu hata kusimama nae hadharani hizi hela zitakuja kuua mtu. Sema mm nataka nianze nae mahusiano tuwe tunazila hela za mzee.
Hahaahahahhaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…