Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Usiombe yakukute tena tema mate chini maana kumzalisha single mama nikujichimbia kaburi.
Ngoja nitafute mwanajeshi haogopi vita najua wapo watanijia in box kwa usajili
 
Hehehehehh na siku akimpeleka mwanae kwa baba ake kwisha habari yako

#kIddIng
shida iko wapi asali haina makombo kizuri ajitahidi kukudanganya usijui na hili ni rahisi sana akienda abebe sabuni anayotumia nyumbani na mafuta yake ili akioga unaona kawaida tu sio aogee sabuni ya hotel we vipi! ushamkuta na mtoto wivu wa nini?
 
Mwanzoni anaweza akakupenda kama mwana mpaka ukajihisi umekuwa mwanamfalme
Ngoja ssa akuvulie pants upige kimoko cha ndomu utajua hujui
Utapiga simu kama ile namba ya voda huduma kwa wateja 09... hutaona ikipokelewa akija kupokea baadae utasikia niliacha simu ndani oooh ng’eng’e nyingi
Ukiongea nae kidogo mara ooh mtoto analia ngoja nimbembeleze ntakurudia ukikata ndio mazima
Kumbuka wakati analeta mada ya mtoto ukiipinga malalamishi yanafuata ooh kisa sio mtoto wako


Dah kwa kweli hawa viumbe sio wa kuwawekea imani kwa ujumla japo wapo waliodumu na wapo waliotokea kwenye uzao wa ndoa ya single mother.
Ila mimi hawa huwa ninawachukulia kama mbwa jike akipata joto na faru yuko mbali yeye huwa anapita na yeyote aliyeko karibu nae
Mzee umewatusi sana sio vzr..
 
Ngoja nitafute mwanajeshi haogopi vita najua wapo watanijia in box kwa usajili

Mimi pia nilikuwa najiona mwanajeshi tena niliye fuzu mafunzo ya kikomandoo mwisho wa siku nikaja kujuwa nilikuwa napambana katika battle ambayo pamoja na ukomandoo wangu wote nikajiona kama kuluta ambaye siwezi kupambana hata na mgambo
 
Nakumbuka mwaka jana katikati nilipata kufahamiana na single mother mmoja toka kwenye mtandao maarufu wa kijamii.

Mwanzoni sikujua kama ni single mother mpaka tulivyoanza kuzoeana ndipo alinambia kwamba ana mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka mitatu alizaa na jamaa mmoja ambae kwasasa wameachana.Ingawa sikuwa na mpango wa kumtongoza haraka kihivyo ila yeye mwenyewe alianza kujitongozesha.

Akaanza zile mara tunaonana lini mara ooh sijui unakuja lini vitu kama hivyo nikamwambia tutaonana tu wala usijari mana kiukweli tulikua tuko mikoa tofauti.Balaa lilianza ilipofika December mwezi wa Xmas akaanza kunambia mara mtoto anataka nguo mara sijui vile yani akawa anakomaa kweli kwamba nimnunulie mwanae nguo za sikukuu mara ooh kodi ya nyumba inaisha naomba unisaidie kulipa......sasa nikawaza huyu sijaonana nae live kashaanza kunipa majukum ya baba wa mtoto je nikishakutana nae faragha sio ndio nitakua napigwa invoice kila uchao

Nikaona isiwe kesi wacha nimpotezee mana sipendi mwanamke ambae mwanzoni tu anaanza kulia shida kabla hata sijamgegeda

Sijui kwa wengine ila binafsi siamini kama kweli single mothers wanakuaga na mapenzi ya dhati, huwa naamini kujibebisha kwao ni maigizo tu ili mambo yake yaende sababu anachohitaji yeye ni pesa tu kwaajiri ya kutatua matatizo yake mana wanakuaga na shida kupita maelezo.

Je kuna mtu mwingine yeyote humu ambae kashawahi kuwa kwenye mahusiano na single mother na kama uliwahi je ni nini kilikufanya uachane na single mother ?

Karibuni tuweze share experience
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] eti wanakuwaga na shida kupita maelezo
 
Dogo huna hela sijaona tatizo katika maombi ya huyo bibie.. kaomba vitu vya kawaida Sana ambavyo mwanaume mchakarikaji havimsumbui kufungua thread.
Nikusisitizie tu , tafuta hela.
Au sio mtu hamjawahi hata kuonana nae halafu anakuomba omba hela na wewe unaona sawa [emoji16][emoji16][emoji16]

Hizo pesa ingekuwa Ni rahisi hivyo kuzigawa Basi serikali yetu ingekuwa inawapatia wananchi wake pesa Bila kufanya kazi
 
Hahaaa umenikumbusha mmoja huyo nilikutana nae kazin kama new employeee....


Mpole mpole hivi nikasema ngoja nioshe rungu nipite, wee yule dada sijui alinifanyoa nini, nikaja kukuta nimempenda vile isivyo kawaida, nikipiga simu jion asipopatikana mwili wote unajaa joto unalegea nahisi kufa.

Maisha yakasonga kaja nambia ana mtoto wa kike kazaa na ex wake tena wakiwa chuon 2nd year, eheee nambie mamii huyo mtoto yuko wapi?

Yupo kwa bibi yake mzaa baba yake, hahaa vitimbwi umekaa nae seblen unataka kumega utamu simu inapigwa na mama yake mkwe huyo anae kaa na mtoto.


Mama: Binti habari?
Binti: Nzuri mama shikamoo,
Mama: Marahaba, vipi huyu mwanao hujapiga simu kuulizia maendeleo yake ya shule, ila kanajitahidi sana na baba yake alimtumia hela za nguo hapa nimemnunulia kapendeza sana.

Binti: ooh vizuri sana mama, ajitahidi katika masomo


Mama: Kuna wifi yako anataka kukusalimu


Binti: haya mpe simu.
Binti: Wifi za huko jaman, nilikuona profile umenawiri na kupendeza.

Wifi: Asante wifi, ile picha nilipiga ile sehem aliyotupeleka kaka siku ya siku kuu mlipokuwa huku kipindi kile cha siku kuu

Binti: Aaah usinikumbushe ile sehem nzuri jaman na ile siku nilienjoy sana.

Wifi: lini unakuja wifi yangu, uje bwana mwanao anakuwa mkiwa sana wengine mama zao wanakuja wanafurahia mapenzi ya mama yao wa kwako anakuwa mkiwa.


Binti: nitakuja wifi ngoja nishugulikie likizo.

Unapata picha ya wewe umekaa kwenye sofa hapo pemben unasubiria mtu amalize story za upuuz za hivyo,

Basi akikata simu anawaponda kidogo, yan hawa kila mara wanadai uniform, viatu vya mtoto sijui nguo za siku kuu bora nije nichukue mwanangu.

Mimi: Eeeh chukua mtoto huyo haya mawasiliano yenu hayanivutii

Binti: baby punguza wivu ww nae, yule ana mpenz wake na mm nina wewe ni bahat mbaya tu mimba iliingia tukapata huyu mtoto.


Mara siku nyingine, simu ya huyo baba watoto wake, anavunga kupokea, jamaa anatuma msg hebu punguza jazba mtoto apate malezo yetu sote, juzi nimeongea nae kasema msalimie mama.
Utaona binti analegea, anavizia ukiondoka waongee.


Nikasema huu ni utumwa ndani ya nchi huru yenye wanawake wengi kuliko wanaume.


Nilisikia habr za fununu walivishana pete baadae tena.



Avoid mwanamke mwenye mtoto, waigizaji sana ila ipo siku atakuumiza balaa had ustashangaa na kujifanya unajua kukamatia walojazwa watoto
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hahahaha alikuja kuleta mtoto town tukapasha kipolo kama wik mbil hivi ujumbe alioniambia kwamba yule mtoto sio wa Mme wake ni wangu nimemjarb kumtafuta usiku huu kaniambia Mme wake hayupo nimemuambia aje tulelee watoto kakubali hahahaha single mother shikamon kauli mbiu ya JF "mpaka mtuonyeshe kaburi la baba mtoto wako "
Aisee [emoji16]
 
Nikwel lakin wanawake wa kiswahil wanajua walipo toka na walipo, hawajui waendapo ndiyo maana akipata mpenz mpya lazma ampime na mpenzi wake wazam, kwaiyo akiona mpenz wake was zamani ana maksi nyingi kuliko aliye nae kwa wakati huo lazma ataka kujirudisha kwa mpenz wake wa zaman

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji419][emoji419]
 
Wacha bhana
Mkuu single mother sio wa kuoa chukua mtu kaolewa kwa ndoa kabisa lakn nilimwambia aje kakubali nikamuuliza mmeo utamuagaje anasema tamwambia shangaz kaniita Mara moja kama wiki hivi kuna kitu tena hapo ukioa single mother umeoa mke wa mtu
 
Mkuu single mother sio wa kuoa chukua mtu kaolewa kwa ndoa kabisa lakn nilimwambia aje kakubali nikamuuliza mmeo utamuagaje anasema tamwambia shangaz kaniita Mara moja kama wiki hivi kuna kitu tena hapo ukioa single mother umeoa mke wa mtu
Hivi najaribu kuwaza taratibu..hivi huyo singo mama anacheat Na mwanamke mwenzie?😁😁mkuu acha kumuumiza mwanaume mwenzako.acha mke wake atulie huko alipo.

Kuna singo mama unaeza oa na akatulia kwenye ndoa yake kuliko hata mwanamke ambae hajawahi kuwa Na mtoto.

Kuna mwamba namjua yeye ni singo baba kaoa mdada mzuri tu asiye na mtoto wakabahatika kupata mtoto mwingine ndani ya ndoa.

😁😁kinachomtokea masts ni bwana aingilie kati maana ameshamtamani baby mama wake lakini hawawezi kuwa pamoja maana baby mama wake kaolewa na mazoea na baby baba hataki kbisa.so inategemea Chief.

Haya maisha ya kukaririshwa huku JF kuwa singo maza ni wabaya ni mbaya sana.umeshamaliza singo mama wote ulimwenguni mpka wasemwe wote ni wabaya??ukishikilia sana comments za humu ndani ukazipeleka katika maisha halisi,basi utajikuta upoteza watu wa maana kwa ajili ya hizo negativity ambazo zipo vichwani juu ya singo mamaz🥂
 
Halijanikuta dada ila nahisi kuna dalili za mvua kubwa,maana naona wingu zito limetanda 🤣
🤣🤣🤣eti wingu zito limetanda..

Kaka bora hata wewe umeamua kutokutukana mamba😅😅

Waambie wenzako wakae kwa utulivu wasijetandwa na wingu zito Kama lako😅😅

Maisha Haya..never say never 🎶🎶
😁😁
 
Nakoelekea mm, nitahitaji singo maza tu. Hali niliyonayo inanisuta. Yani hapa ata sijasoma contents ya title yako. Nimeguswa tu.😁
 
Weeee! mbele ya uhakika wa ada ya binti yake lazima atachomoa bila kutaka! sijui kwanini single mama wengi wana watoto wa kike
ukiona binti kakuzalia mtoto wa kiume jua kabisa alitaka kukuzalia kwa roho moja sababu anakuwa anajua kabisa hali yake kwa 70% ukigusa tu atanasa ila ya mtoto wa kike anakuwa kapiga hesabu vibaya au anakuwa anabahatisha yakwamba haitaingia kumbe sivyo!!, ndio maana mabinti wengi wana watoto wa kike, ila ya mtoto wa kiume mara nyingi unakuta binti alikupenda na alikuwa tayari kuibeba, ndio maana hata kwa ishu ya single mothers wengi ikiwa kazaa kabinti, ndio X anaweza kula ila sio kwa upendo wa kivile hata risk yake sio kubwa sana ila kama X amezaa nae katoto ka kiume yaani hapo risk ya jamaa kujilia ni 90%, sababu alibeba mimba kwa kuitaka na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo X, fanya utafiti utagundua.
 
Hivi najaribu kuwaza taratibu..hivi huyo singo mama anacheat Na mwanamke mwenzie?[emoji16][emoji16]mkuu acha kumuumiza mwanaume mwenzako.acha mke wake atulie huko alipo.

Kuna singo mama unaeza oa na akatulia kwenye ndoa yake kuliko hata mwanamke ambae hajawahi kuwa Na mtoto.

Kuna mwamba namjua yeye ni singo baba kaoa mdada mzuri tu asiye na mtoto wakabahatika kupata mtoto mwingine ndani ya ndoa.

[emoji16][emoji16]kinachomtokea masts ni bwana aingilie kati maana ameshamtamani baby mama wake lakini hawawezi kuwa pamoja maana baby mama wake kaolewa na mazoea na baby baba hataki kbisa.so inategemea Chief.

Haya maisha ya kukaririshwa huku JF kuwa singo maza ni wabaya ni mbaya sana.umeshamaliza singo mama wote ulimwenguni mpka wasemwe wote ni wabaya??ukishikilia sana comments za humu ndani ukazipeleka katika maisha halisi,basi utajikuta upoteza watu wa maana kwa ajili ya hizo negativity ambazo zipo vichwani juu ya singo mamaz[emoji1635]

Tushakubaliana kwenye kikao chetu single mother unapunguza nyege tu kisha unaendelea na majukumu mengine ya kujenga taifa
 
Back
Top Bottom