Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi ilikuaje?Nimekoma kutukana mamba kabla sijavuka mto,Nimekoma...
aisee[emoji2][emoji2][emoji2]ukiona binti kakuzalia mtoto wa kiume jua kabisa alitaka kukuzalia kwa roho moja sababu anakuwa anajua kabisa hali yake kwa 70% ukigusa tu atanasa ila ya mtoto wa kike anakuwa kapiga hesabu vibaya au anakuwa anabahatisha yakwamba haitaingia kumbe sivyo!!, ndio maana mabinti wengi wana watoto wa kike, ila ya mtoto wa kiume mara nyingi unakuta binti alikupenda na alikuwa tayari kuibeba, ndio maana hata kwa ishu ya single mothers wengi ikiwa kazaa kabinti, ndio X anaweza kula ila sio kwa upendo wa kivile hata risk yake sio kubwa sana ila kama X amezaa nae katoto ka kiume yaani hapo risk ya jamaa kujilia ni 90%, sababu alibeba mimba kwa kuitaka na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo X, fanya utafiti utagundua.
Ngoja niitunze hii comment yako itanisaidia katika utafiti wanguukiona binti kakuzalia mtoto wa kiume jua kabisa alitaka kukuzalia kwa roho moja sababu anakuwa anajua kabisa hali yake kwa 70% ukigusa tu atanasa ila ya mtoto wa kike anakuwa kapiga hesabu vibaya au anakuwa anabahatisha yakwamba haitaingia kumbe sivyo!!, ndio maana mabinti wengi wana watoto wa kike, ila ya mtoto wa kiume mara nyingi unakuta binti alikupenda na alikuwa tayari kuibeba, ndio maana hata kwa ishu ya single mothers wengi ikiwa kazaa kabinti, ndio X anaweza kula ila sio kwa upendo wa kivile hata risk yake sio kubwa sana ila kama X amezaa nae katoto ka kiume yaani hapo risk ya jamaa kujilia ni 90%, sababu alibeba mimba kwa kuitaka na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo X, fanya utafiti utagundua.
Mimi hata staki toa viapo kwenye maisha yangu saivi,maana nilikua🤣🤣🤣eti wingu zito limetanda..
Kaka bora hata wewe umeamua kutokutukana mamba😅😅
Waambie wenzako wakae kwa utulivu wasijetandwa na wingu zito Kama lako😅😅
Maisha Haya..never say never 🎶🎶
😁😁
😘😘😘Nikweli Kama amekukubal hawez kumkumbuka baba mtoto, ata mkumbuka baba watoto Kama atapata manyasho na shida na yeye ata pima je alipo kuwa mwanzo na Sasa wapi pana furaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mweeeeeee humu kuna wanasaikolojia wenye level za PHD aseeeeukiona binti kakuzalia mtoto wa kiume jua kabisa alitaka kukuzalia kwa roho moja sababu anakuwa anajua kabisa hali yake kwa 70% ukigusa tu atanasa ila ya mtoto wa kike anakuwa kapiga hesabu vibaya au anakuwa anabahatisha yakwamba haitaingia kumbe sivyo!!, ndio maana mabinti wengi wana watoto wa kike, ila ya mtoto wa kiume mara nyingi unakuta binti alikupenda na alikuwa tayari kuibeba, ndio maana hata kwa ishu ya single mothers wengi ikiwa kazaa kabinti, ndio X anaweza kula ila sio kwa upendo wa kivile hata risk yake sio kubwa sana ila kama X amezaa nae katoto ka kiume yaani hapo risk ya jamaa kujilia ni 90%, sababu alibeba mimba kwa kuitaka na alikuwa na mapenzi ya kweli kwa huyo X, fanya utafiti utagundua.
Bora hata wewe umelitambua mapema hujachelewa...Mimi hata staki toa viapo kwenye maisha yangu saivi,maana nilikua
sielewi mtu akiniambia "time will tell",yani nilikua nam'benulia mdomo
namsindikiza na neno kimoyo moyo namwambia "Hujui misimamo yangu wewe"
ila sasaaa,Wingu lililotanda mbele yangu,nawambia tu hawa wanazengo wao waendelee tu ila "Time will tell"
Mwambie mama manka akupatie kirikiri au kata ya mbege tafadhali.Mweeeeeee humu kuna wanasaikolojia wenye level za PHD aseeee
ila iwe iwavyo binadamu wote kwangu ni sawa,nikikudondokea hata uwe na miaka 78 "sijali" tena uwe na
watoto wakubwa ka baba angu mkubwa ndio sijaliiiii,napambana na moyo wangu tu,mengine watajua mashabiki zangu...
ngoja ni repeat after you kaka..Usiongeze neno,just comment a short line, "time will tell them"
saivi waache kwanza,maana hamna neno utaweza ongea ukaeleweka.
Nakwambia hapa hata sielewi,kila mkoa ninao pita kama sio wingu basi manyunyuBora hata wewe umelitambua mapema hujachelewa...
Wewe waache waendelee🤣🤣
Kwani kaka hiyo mvua itanyesha lini tuanze kununua miavuli?😎😎
Bado sana wewe mbona wenzio ivyo viunzi tunavivuka vizuri tu......unaendeshwa na nyege wewe ile ukimuhitaji anytime huyu hapa....Nimekoma kutukana mamba kabla sijavuka mto,Nimekoma...
🤣🤣🤣🤣 baba hakika kweli umekamatika..Nakwambia hapa hata sielewi,kila mkoa ninao pita kama sio wingu basi manyunyu
mimi sijui ntaangukia mkoa upi ila mikoa yote hii ndo miezi ya mvua,mwamvuli muhimu mama🤣
Ushawahi kumuona mjinga anayejiona mwerevu?Hivi najaribu kuwaza taratibu..hivi huyo singo mama anacheat Na mwanamke mwenzie?[emoji16][emoji16]mkuu acha kumuumiza mwanaume mwenzako.acha mke wake atulie huko alipo.
Kuna singo mama unaeza oa na akatulia kwenye ndoa yake kuliko hata mwanamke ambae hajawahi kuwa Na mtoto.
Kuna mwamba namjua yeye ni singo baba kaoa mdada mzuri tu asiye na mtoto wakabahatika kupata mtoto mwingine ndani ya ndoa.
[emoji16][emoji16]kinachomtokea masts ni bwana aingilie kati maana ameshamtamani baby mama wake lakini hawawezi kuwa pamoja maana baby mama wake kaolewa na mazoea na baby baba hataki kbisa.so inategemea Chief.
Haya maisha ya kukaririshwa huku JF kuwa singo maza ni wabaya ni mbaya sana.umeshamaliza singo mama wote ulimwenguni mpka wasemwe wote ni wabaya??ukishikilia sana comments za humu ndani ukazipeleka katika maisha halisi,basi utajikuta upoteza watu wa maana kwa ajili ya hizo negativity ambazo zipo vichwani juu ya singo mamaz[emoji1635]
Hamisa mpaka leo haamini kama kaachwaHaha mwenyekiti kwa kweli mimi mwenyewe ile co-parenting sikuielewa. Nikasema labda huko mjini mambo yapo hivyo, huku Mwakaleli ushamba umetuzidi.
hongeraBado sana wewe mbona wenzio ivyo viunzi tunavivuka vizuri tu......unaendeshwa na nyege wewe ile ukimuhitaji anytime huyu hapa....
Hata wasio single mother wanapasha na ma ex wao.HIVI KABLA YA KUWA NAYE HAPO KABLA, MAHITAJI YA MUHIMU ALIKUWA AKIYAPATA WAPI?
HALAFU KUWA MAKINI, HAO KUPASHA KIPORO NA EX WAKE (BABA MTOTO) NI DAKIKA SIFURI
USISEME HUKUONYWA
True storyHata wasio single mother wanapasha na ma ex wao.