Kibukuasili
JF-Expert Member
- May 15, 2010
- 1,053
- 615
Mkuu JF haipo frexible kama Whatsapp na na JFvhaiwezi kuwa mbadala wa Whatsapp kama unalijua hilo mkuu kunavitu vitaanzia JF vitahitaji kumalizikia Whatsapp, kuna vitu vitakuwa whatsapp vitahitaji kuji-expose JF pia hivyohuvyo FB na IG kila mtandao una umuhimu wake na unauzito wake kwenye kipengele fulani
Mi magroup ya shule nimeyakataa. Sina "bond" tena na watu niliosoma nao ukiacha wachache waliokua marafiki wa karibu na bado tunawasiliana. Watu wangwa karibu ni ninaoishi nao na kufanya kazi nao. Hao wengine dunia ilishatutenganisha.Magroup yanatumika kupeana updates mbalimbali kwa mfano biashara, misiba, sherehe, siasa, uchumi,kilimo n.k
kwa mfano mimi nina magroup ya niliosoma nao chuo, sekondari, kanisani, group la kinadada na biashara
Mi magroup ya shule nimeyakataa. Sina "bond" tena na watu niliosoma nao ukiacha wachache waliokua marafiki wa karibu na bado tunawasiliana. Watu wangwa karibu ni ninaoishi nao na kufanya kazi nao. Hao wengine dunia ilishatutenganisha.
Tulishawahi kujaribu kufanya reunion ya primary school pale 777 dsm ikabuma. Watu walikuja lakini tukaishia uko wapi na bla bla nyingine na kusanifiana (kinywaji kilivyokolea) Tumejikuta tuko tofauti kabisa. Kuna mchungaji, walevi, criminals, lawyers etc.
Na kweli umbeaWengi wao ni umbea tu hakuna cha maana zaid ya pono sio kujenga uchumi
Mkuu kuwa na group kwako ni dhambi ??.Kiufupi huwa siendekezi hizo mambo... Hasa nikiwa na niliesoma nae ananisaidia nini kwa mfano... Huyo naefanya nae kazi kwani hatuonano ofisin mpk tukutane kwenye group... Pia siendekezi siasa maana ni ujinga tu naona.. Mambo ya kanisa huwa nayamaliza kanisani sio kwenye groups mkuu ni hayo tu... Englishlady
Hahahaha, tuko pamoja Mkuu,hayo makitu yalinishindagaList imeongezeka ya washamba mkuu tupo pamoja[emoji99]
Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwaBinafsi nna group moja tu la family...
Huwa nawashangaa sana wale wenye groups karibu 50+ za Whatsapp hivi huu ni ujanja au ni ulimbukeni? Isije kuwa mie ndio mshamba?!
Tatizo kuna watu humu wanisi wao wanajua kila kitu kusema ushambaMkuu nilitaka niseme wewe mshamba ila nikaona sio hekima kwenye kitu cha kukuweka sawa tu, simply utanielewa binafsi mimi nina group kama 60 hivi ninamambo mengi najihusisha nayo ila baadhi ya status zangu ni Mwanafunzi wa chuo, Mjasiriamali na Dalali jumla ya ishu izi zangu zote ndio zilizo kwenye magupu hayo niliyonayo mkuu, uyo ni mimi. Sasa mwengine hujui ana status gani ambayo ni kawaida au manufaa kwake kuwa na group au huwenda tatizo ni mentality iliyopo kichwani kwako mkuu kuhusu group ndipo tatizo litaisha.
Nipo kwenye group moja la ujasiliamali link zake zipo sana humu JF na ndipo nilipo pata Link ya kujiungia kuna mjasiriamali anajiita JAGUAR anakwambia yeye ana group azipungui 200+ na group hizo ndizo zinachangia asilimia kubwa ya market na network ya watu kwenye business zake, kwenye group hilohilo kuna mdau anajihusisha na Agro input alipata wateja ambao wadau wanaojihusisha na kilimo vipo vingi.
Nipo na group moja ambalo limeanza kawaida na Link yake nimepata humuhumu sasahivi lishajisajiri kisheria kama kampuni na mwakani linaanza miradi mbalimbali.
Nina group lingine nimepata Link yake humuhumu tume meet mala kadhaa tumetengeneza Website teyari ni tunajihusisha na IT tumeanza na biashara moja sitaki itaja.
Kimsingi utakuwa na group ambalo linahusiana na ishu unajihusisha nazo kwenye maisha yako, simply ukiwa na group 50 inamaana wewe una network ya watu wasiopungua 3000 ambao unaweza watumia unavyotaka wewe.
Kama nilivyokwambia pia mie dalali nina bidhaa yangu moja nimeitangaza jana hadi sasa nina wateja hawapungui 20 wamenicheki.
Kimsingi vipo vitu vingi ila utaelewa endapo hutaacha mentality za wasio na elimu kuhusu group za wasapu na mitandao kwa ujumla.
NB: kama hauna group hata moja la whatapp inamaana wewe huna interest au kujihusisha na kitu chochote hapa Duniani.
Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwa
Inawezekana wewe ukawa mchoyo mbinafsi
Ant social
Mwache kila mtu afanye kile achotaka kufanya ili mradi asivunje sharia za nchi
Kuna wengine wanatuona sisi tuliopo humu JF ni wajinga,watu wabaya sana kila mtu anamchukulia mwenzake tofauti
Kuna mmoja alinambi sasa JF wewe inakusaidia nini ?Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwa
Inawezekana wewe ukawa mchoyo mbinafsi
Ant social
Mwache kila mtu afanye kile achotaka kufanya ili mradi asivunje sharia za nchi
Kuna wengine wanatuona sisi tuliopo humu JF ni wajinga,watu wabaya sana kila mtu anamchukulia mwenzake tofauti
You got brain mkuu.hivi vitu vinaenda kwa mahitaji...kila mtu ana hitaji lake...
hitaji lako linaweza likawa siyo hitaji kwa mwenzako nalamwenzako pia ikawa hivyohivyo kwako
kwa mfano mimi nina groups hazizidi tatu kutokana na mahitaji yangu lakini siwezi kumshangaa mwenye groups zaidi ya 3 sababu siwezi jua mahitaji yake kwenye hizo groups
kwahiyo hili suala huwezi kuliongea katika mjumlisho