Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Wingi wa magroup si hoja. Cha muhimi ni quality ya discussions zinazoendelea kwenye group husika. Mi nikiingia kwa group nikaona hakuna original contents ni FWs tuu tena za mambo yaso na maana na left haraka
 
Wewe km mimi mkuu....
Wingi wa magroup si hoja. Cha muhimi ni quality ya discussions zinazoendelea kwenye group husika. Mi nikiingia kwa group nikaona hakuna original contents ni FWs tuu tena za mambo yaso na maana na left haraka
 
Nakuelewa vema mkuu ila wengi wao hujikuta wapo na groups nyingi ila mwisho wa siku hazina maana kwao na kujikuta wanapoteza muda wao kwa kuchat chat vitu visivyo na maana ila unachosema ni kwel kila kitu kina kazi yake na haviwezi kuendana kwa 100%
Mkuu JF haipo frexible kama Whatsapp na na JFvhaiwezi kuwa mbadala wa Whatsapp kama unalijua hilo mkuu kunavitu vitaanzia JF vitahitaji kumalizikia Whatsapp, kuna vitu vitakuwa whatsapp vitahitaji kuji-expose JF pia hivyohuvyo FB na IG kila mtandao una umuhimu wake na unauzito wake kwenye kipengele fulani
 
Magroup yanatumika kupeana updates mbalimbali kwa mfano biashara, misiba, sherehe, siasa, uchumi,kilimo n.k
kwa mfano mimi nina magroup ya niliosoma nao chuo, sekondari, kanisani, group la kinadada na biashara
Mi magroup ya shule nimeyakataa. Sina "bond" tena na watu niliosoma nao ukiacha wachache waliokua marafiki wa karibu na bado tunawasiliana. Watu wangwa karibu ni ninaoishi nao na kufanya kazi nao. Hao wengine dunia ilishatutenganisha.
Tulishawahi kujaribu kufanya reunion ya primary school pale 777 dsm ikabuma. Watu walikuja lakini tukaishia uko wapi na bla bla nyingine na kusanifiana (kinywaji kilivyokolea) Tumejikuta tuko tofauti kabisa. Kuna mchungaji, walevi, criminals, lawyers etc.
 
Mie ma group yalinishinda nadhani naangukia ktk ushamba

Ingawa baadhi ya maoni ya wadau naona wengine wana faida nayo ,wengine yanawazingua
 
Nimejikuta nafika mbali kimawazo mkuu [emoji3] dah ila hamuwezi kuwa sawa mkuu maana kila mtu ana tabia yake... Sisi pia iliwahi kutokea jambo km hilo en huwa sipendi kwanza mazoea na watu ambao nilisoma nao maana wengine hata hatuka friends huko nyuma now itakuaje km sio kuchorana tu..
Mi magroup ya shule nimeyakataa. Sina "bond" tena na watu niliosoma nao ukiacha wachache waliokua marafiki wa karibu na bado tunawasiliana. Watu wangwa karibu ni ninaoishi nao na kufanya kazi nao. Hao wengine dunia ilishatutenganisha.
Tulishawahi kujaribu kufanya reunion ya primary school pale 777 dsm ikabuma. Watu walikuja lakini tukaishia uko wapi na bla bla nyingine na kusanifiana (kinywaji kilivyokolea) Tumejikuta tuko tofauti kabisa. Kuna mchungaji, walevi, criminals, lawyers etc.
 
Kiufupi huwa siendekezi hizo mambo... Hasa nikiwa na niliesoma nae ananisaidia nini kwa mfano... Huyo naefanya nae kazi kwani hatuonano ofisin mpk tukutane kwenye group... Pia siendekezi siasa maana ni ujinga tu naona.. Mambo ya kanisa huwa nayamaliza kanisani sio kwenye groups mkuu ni hayo tu... Englishlady
Mkuu kuwa na group kwako ni dhambi ??.
 
Binafsi nna group moja tu la family...
Huwa nawashangaa sana wale wenye groups karibu 50+ za Whatsapp hivi huu ni ujanja au ni ulimbukeni? Isije kuwa mie ndio mshamba?!
Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwa
Inawezekana wewe ukawa mchoyo mbinafsi
Ant social
Mwache kila mtu afanye kile achotaka kufanya ili mradi asivunje sharia za nchi
Kuna wengine wanatuona sisi tuliopo humu JF ni wajinga,watu wabaya sana kila mtu anamchukulia mwenzake tofauti
 
Sio dhambi ila inadepends na hilo groups lina mantiki gan kwang... Ila sio km sina group ninalo ila ni la family ila mengine yalishanishinda kabisa mkuu
Mkuu kuwa na group kwako ni dhambi ??.
 
Mkuu nilitaka niseme wewe mshamba ila nikaona sio hekima kwenye kitu cha kukuweka sawa tu, simply utanielewa binafsi mimi nina group kama 60 hivi ninamambo mengi najihusisha nayo ila baadhi ya status zangu ni Mwanafunzi wa chuo, Mjasiriamali na Dalali jumla ya ishu izi zangu zote ndio zilizo kwenye magupu hayo niliyonayo mkuu, uyo ni mimi. Sasa mwengine hujui ana status gani ambayo ni kawaida au manufaa kwake kuwa na group au huwenda tatizo ni mentality iliyopo kichwani kwako mkuu kuhusu group ndipo tatizo litaisha.

Nipo kwenye group moja la ujasiliamali link zake zipo sana humu JF na ndipo nilipo pata Link ya kujiungia kuna mjasiriamali anajiita JAGUAR anakwambia yeye ana group azipungui 200+ na group hizo ndizo zinachangia asilimia kubwa ya market na network ya watu kwenye business zake, kwenye group hilohilo kuna mdau anajihusisha na Agro input alipata wateja ambao wadau wanaojihusisha na kilimo vipo vingi.

Nipo na group moja ambalo limeanza kawaida na Link yake nimepata humuhumu sasahivi lishajisajiri kisheria kama kampuni na mwakani linaanza miradi mbalimbali.

Nina group lingine nimepata Link yake humuhumu tume meet mala kadhaa tumetengeneza Website teyari ni tunajihusisha na IT tumeanza na biashara moja sitaki itaja.

Kimsingi utakuwa na group ambalo linahusiana na ishu unajihusisha nazo kwenye maisha yako, simply ukiwa na group 50 inamaana wewe una network ya watu wasiopungua 3000 ambao unaweza watumia unavyotaka wewe.

Kama nilivyokwambia pia mie dalali nina bidhaa yangu moja nimeitangaza jana hadi sasa nina wateja hawapungui 20 wamenicheki.

Kimsingi vipo vitu vingi ila utaelewa endapo hutaacha mentality za wasio na elimu kuhusu group za wasapu na mitandao kwa ujumla.

NB: kama hauna group hata moja la whatapp inamaana wewe huna interest au kujihusisha na kitu chochote hapa Duniani.
Tatizo kuna watu humu wanisi wao wanajua kila kitu kusema ushamba
Safi sana
 
Nimekusoma mkuu kila mtu ana uhuru wa mambo yake ila nimejaribu tu kuuliza kutaka kujua je iko vipi hii mkuu
Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwa
Inawezekana wewe ukawa mchoyo mbinafsi
Ant social
Mwache kila mtu afanye kile achotaka kufanya ili mradi asivunje sharia za nchi
Kuna wengine wanatuona sisi tuliopo humu JF ni wajinga,watu wabaya sana kila mtu anamchukulia mwenzake tofauti
 
hivi vitu vinaenda kwa mahitaji...kila mtu ana hitaji lake...

hitaji lako linaweza likawa siyo hitaji kwa mwenzako nalamwenzako pia ikawa hivyohivyo kwako

kwa mfano mimi nina groups hazizidi tatu kutokana na mahitaji yangu lakini siwezi kumshangaa mwenye groups zaidi ya 3 sababu siwezi jua mahitaji yake kwenye hizo groups

kwahiyo hili suala huwezi kuliongea katika mjumlisho
 
Tatizo kila anaandika JF basi anataka aonekane ni msomi au Mwenyewe uelewa mkubwa
Inawezekana wewe ukawa mchoyo mbinafsi
Ant social
Mwache kila mtu afanye kile achotaka kufanya ili mradi asivunje sharia za nchi
Kuna wengine wanatuona sisi tuliopo humu JF ni wajinga,watu wabaya sana kila mtu anamchukulia mwenzake tofauti
Kuna mmoja alinambi sasa JF wewe inakusaidia nini ?
 
hivi vitu vinaenda kwa mahitaji...kila mtu ana hitaji lake...

hitaji lako linaweza likawa siyo hitaji kwa mwenzako nalamwenzako pia ikawa hivyohivyo kwako

kwa mfano mimi nina groups hazizidi tatu kutokana na mahitaji yangu lakini siwezi kumshangaa mwenye groups zaidi ya 3 sababu siwezi jua mahitaji yake kwenye hizo groups

kwahiyo hili suala huwezi kuliongea katika mjumlisho
You got brain mkuu.
 
Mimi ndio napata FAIDA kulikoni ninyi wote mlichangia uzi huu ata mtoa mada mwenyewe nahisi bado kunifikia mimi FAIDA nazopata. Mimi nina magroup MATANO ya WhatsApp ambayo ni ya ngono(xxxvideoz) na Nafaidika sana kuwepo humo kulikoni kuwepo kwenye magroup ambayo hayana Tija yoyote kwenye maisha yangu.

Nna nguo chafu nyingi sana.
 
Back
Top Bottom