Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Kuwa kwenye makundi mengi ya WhatsApp ni ujanja au ushamba?

Mkuu usinichekeshe aseeew bika shaka hizo nguo chafu ni matokeo ya hizo pono[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi ndio napata FAIDA kulikoni ninyi wote mlichangia uzi huu ata mtoa mada mwenyewe nahisi bado kunifikia mimi FAIDA nazopata. Mimi nina magroup MATANO ya WhatsApp ambayo ni ya ngono(xxxvideoz) na Nafaidika sana kuwepo humo kulikoni kuwepo kwenye magroup ambayo hayana Tija yoyote kwenye maisha yangu.

Nna nguo chafu nyingi sana.
 
Mi magroup ya shule nimeyakataa. Sina "bond" tena na watu niliosoma nao ukiacha wachache waliokua marafiki wa karibu na bado tunawasiliana. Watu wangwa karibu ni ninaoishi nao na kufanya kazi nao. Hao wengine dunia ilishatutenganisha.
Tulishawahi kujaribu kufanya reunion ya primary school pale 777 dsm ikabuma. Watu walikuja lakini tukaishia uko wapi na bla bla nyingine na kusanifiana (kinywaji kilivyokolea) Tumejikuta tuko tofauti kabisa. Kuna mchungaji, walevi, criminals, lawyers etc.
Wafanyakazi wenzio je? I mean group la kazini
 
Binafsi nna group moja tu la family...
Huwa nawashangaa sana wale wenye groups karibu 50+ za Whatsapp hivi huu ni ujanja au ni ulimbukeni? Isije kuwa mie ndio mshamba?!
We unafikiriaje?
 
Niujanja na niushamba pia inategemea na magroup uliyonayo yana faida au hasara gani kwako
 
Mkuu nilitaka niseme wewe mshamba ila nikaona sio hekima kwenye kitu cha kukuweka sawa tu, simply utanielewa binafsi mimi nina group kama 60 hivi ninamambo mengi najihusisha nayo ila baadhi ya status zangu ni Mwanafunzi wa chuo, Mjasiriamali na Dalali jumla ya ishu izi zangu zote ndio zilizo kwenye magupu hayo niliyonayo mkuu, uyo ni mimi. Sasa mwengine hujui ana status gani ambayo ni kawaida au manufaa kwake kuwa na group au huwenda tatizo ni mentality iliyopo kichwani kwako mkuu kuhusu group ndipo tatizo litaisha.

Nipo kwenye group moja la ujasiliamali link zake zipo sana humu JF na ndipo nilipo pata Link ya kujiungia kuna mjasiriamali anajiita JAGUAR anakwambia yeye ana group azipungui 200+ na group hizo ndizo zinachangia asilimia kubwa ya market na network ya watu kwenye business zake, kwenye group hilohilo kuna mdau anajihusisha na Agro input alipata wateja ambao wadau wanaojihusisha na kilimo vipo vingi.

Nipo na group moja ambalo limeanza kawaida na Link yake nimepata humuhumu sasahivi lishajisajiri kisheria kama kampuni na mwakani linaanza miradi mbalimbali.

Nina group lingine nimepata Link yake humuhumu tume meet mala kadhaa tumetengeneza Website teyari ni tunajihusisha na IT tumeanza na biashara moja sitaki itaja.

Kimsingi utakuwa na group ambalo linahusiana na ishu unajihusisha nazo kwenye maisha yako, simply ukiwa na group 50 inamaana wewe una network ya watu wasiopungua 3000 ambao unaweza watumia unavyotaka wewe.

Kama nilivyokwambia pia mie dalali nina bidhaa yangu moja nimeitangaza jana hadi sasa nina wateja hawapungui 20 wamenicheki.

Kimsingi vipo vitu vingi ila utaelewa endapo hutaacha mentality za wasio na elimu kuhusu group za wasapu na mitandao kwa ujumla.

NB: kama hauna group hata moja la whatapp inamaana wewe huna interest au kujihusisha na kitu chochote hapa Duniani.
Sina group hata moja

Umeconclude vibaya hapa mwisho ofcourse
 
Magroup yanatumika kupeana updates mbalimbali kwa mfano biashara, misiba, sherehe, siasa, uchumi,kilimo n.k
kwa mfano mimi nina magroup ya niliosoma nao chuo, sekondari, kanisani, group la kinadada na biashara
Wewe unaelewa..wanaosema n ushamba waendelee kuwaza hivo hivo
 
Labda nikupe mfano

Nijihusisha na: ujasiriamali & kusoma

Napendelea: Movie, Games na vitabu

Napenda jifunza: IT, Ufugaji, kilimo na forex
Hivi tunaongelea nn hapa mkuu

mi na njaa kinoma ukiona mtu anauza bagia huko tsup nshtue

Simu alishka mwanangu swaleh msamehe ...

Na magroup kama kumi na tano ya jinsi ya kujiua haraka
 
Tatizo wewe kichwa kigumu ndio maana tumefika huku mpaka nimekufundisha kujibu ungelikuwa na uwezo wa kujibu kama nilivyokuonesha tungefika conclusion fasta tu.
Hivi tunaongelea nn hapa mkuu

mi na njaa kinoma ukiona mtu anauza bagia huko tsup nshtue

Simu alishka mwanangu swaleh msamehe ...

Na magroup kama kumi na tano ya jinsi ya kujiua haraka
 
Issue sio idadi ya groups za whatsap, bali nini mnajadiri huko. Kuna baadhi ya magroup kila siku wanafanya kuforward vitu vya ajabu kutoka group moja mpaka jingine. Magroup mengine yemegeuka kuwa ya michango ya harusi, misiba etc.
 
Kiufupi huwa siendekezi hizo mambo... Hasa nikiwa na niliesoma nae ananisaidia nini kwa mfano... Huyo naefanya nae kazi kwani hatuonano ofisin mpk tukutane kwenye group... Pia siendekezi siasa maana ni ujinga tu naona.. Mambo ya kanisa huwa nayamaliza kanisani sio kwenye groups mkuu ni hayo tu... Englishlady
Basi we baki na mitazamo yako hiyo waache wenye grp nyingi wafanye yao. Eti uliesoma nae atakusaidia nini kwa mfano! ovyo kabisa.
 
Inategemeana na status yako. Kuna watu mnalishwa na wazazi haudaiwi kodi ya nyumba, haudaiwi ada ya mwanao ama mdogo wako, haudaiwi hela ya matumizi ya nyumbani kwako, so hata ukiwa na group moja sio ishu. Biashara siku hizi imehamia kwenye magroup ya telwgram na whatsap na mpesa, tigo pesa nk. So mm ninayo kama 25 kuna ya kazini, familia, group moja tu la kupiga umbea nalo huwa halina post hata wiki nzima
 
Kwani kuna ulazima niwe na group la niliosoma nao mkuu.... Hakuna sababu za msingi km hakuna ulazima maana tulishamalizana nao huko huko school km ni wa msingi nadhan sio lazima tukutane kwa group..
Basi we baki na mitazamo yako hiyo waache wenye grp nyingi wafanye yao. Eti uliesoma nae atakusaidia nini kwa mfano! ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom