Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Ongezea na wavuvi camp 🤣🤣🤣🤣kama ana hisa paleJohnnie Walker aka Mwachiluwi ukipenda unaeza muita mzee wa capetown fish Market 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea na wavuvi camp 🤣🤣🤣🤣kama ana hisa paleJohnnie Walker aka Mwachiluwi ukipenda unaeza muita mzee wa capetown fish Market 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nakupenda wewe pamoja na huyo bwana wako 🤗
Haya bana, me huwa napendaga vibaya ndio mana huwa nakuwa mpole sanaYah basi hujapenda unataka tu kunichezea
Kivipi????Haya bana, me huwa napendaga vibaya ndio mana huwa nakuwa mpole sana
Ndugu yangu kuna namna huwa nawaelewa wanawake hasa akinionyesha nipo pekeangu... Yan huwa siangalii mwingine sasa tatizo ni kama anasema hatoi mchezo kabla ya kuolewa siwez kuelewa sababu nikipenda napenda... Me siwez kujielezea ila i am very very BOLD...Kivipi????
So ujua mamboo maana ndio muhimu na matunzoNdugu yangu kuna namna huwa nawaelewa wanawake hasa akinionyesha nipo pekeangu... Yan huwa siangalii mwingine sasa tatizo ni kama anasema hatoi mchezo kabla ya kuolewa siwez kuelewa sababu nikipenda napenda... Me siwez kujielezea ila i am very very BOLD...
Mimi kama you're mwanamke wangu nakususia kila kitu... Sasa kama unaanza makando kando pia ni mrahis kupotea.. Kuweka naweka kweli na kukutunza niseme kweli mpaka uwe na discipline.... Sipend nipoteze nguvu nyingi na pesa kwa kitu hakina futureSo ujua mamboo maana ndio muhimu na matunzo
upo single?Tatizo mnatuacha tuliosingle mnadata na wamama waliona wanaume zao basi lieni kifo Cha paka
Ndio mie hapo nasemea future napenda niwe namtu mwenye future na Mimi laasivyoo basiMimi kama you're mwanamke wangu nakususia kila kitu... Sasa kama unaanza makando kando pia ni mrahis kupotea.. Kuweka naweka kweli na kukutunza niseme kweli mpaka uwe na discipline.... Sipend nipoteze nguvu nyingi na pesa kwa kitu hakina future
Ndio single nipo ready to mingleupo single?
Me sipend makando kando nikisema nipo na wewe sitak useme tunaishia leo, wa kuishia siku moja wako wengi ila wanawake wanaoeleweka wakufanya nao maisha ni wachacheNdio mie hapo nasemea future napenda niwe namtu mwenye future na Mimi laasivyoo basi
Wapo ila wabaya ndio wengi wasiojielewa kwakweliMe sipend makando kando nikisema nipo na wewe sitak useme tunaishia leo, wa kuishia siku moja wako wengi ila wanawake wanaoeleweka wakufanya nao maisha ni wachache
Nishapambana sana to be who i am sasa huwa sipend stress ndogo ndogo ila maisha ndio yalivyo we are who we are...Wapo ila wabaya ndio wengi wasiojielewa kwakweli
Nauliza umri tuNishapambana sana to be who i am sasa huwa sipend stress ndogo ndogo ila maisha ndio yalivyo we are who we are...
This is eagle one over, i copy you loud and cleary the team is on way ETA 2 mnute's overOne man down I repeat one man down we need rescue team ASAP, do you copy?
Umri wangu?Nauliza umri tu
2012Nauliza umri tu
Acha utani basi2012
YesUmri wangu?
Yes ni 32 yrs sasa hiyo si 2012.....Acha utani basi