Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Embu lekebisha hapo kidogo sio chapombeJohnnie walker Kumbe ni mwachiluwi cha pombe mzee wa vizinga kaibuka na id mpya 🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu lekebisha hapo kidogo sio chapombeJohnnie walker Kumbe ni mwachiluwi cha pombe mzee wa vizinga kaibuka na id mpya 🤔🤔
Hakuna haja ya kuogopa hilo sku likikutokea utajua namna ya kulikabili,"Piga mimba weka ndani maisha yaende" Kuna watu wanalea watoto ambao sio wao.....
Nyie viumba basi tu, ndio maana sina hamu na ke tena😂Pole mwaya
Ikawa asubuhi ikawa jioni, ikawa usiku, siku ya kwanza😂🤣🤣🤣🤣🤣
Enheee, ikawaje?
Wanawake=wanasiasa hahaHapo kwenye kumwamini ndio ulipuyanga. Wanawake ni kama wanasiasa hutakiwi kuwaamini
Nadhani waliosema tuishi nao kwa akili walikua wanamaanisha tusiwaamini.
🤣🤣🤣🤣🤣 Kenge wewe!Ikawa asubuhi ikawa jioni, ikawa usiku, siku ya kwanza😂
Wavuvi cup ndo naisikia kwako leo?Umesahau wavuvi cap
Tena najiandaa kuingia kwenye maji😂🤣🤣🤣🤣🤣 Kenge wewe!
Una hamu na nani sasa kama ke huna hamu na sisi?🤣🤣🥲Nyie viumba basi tu, ndio maana sina hamu na ke tena😂
Umenielewa vibaya...I mean imani, ile kitu siacha hadi mwisho wa maisha, kitu ni njema sema waliokabidhiwa ndio hivyo tena😅Una hamu na nani sasa kama ke huna hamu na sisi?🤣🤣🥲
Nilimuamini, nikamthamini, nikampenda kumbe mke wa mtu.
Single wengi wafannya biashara, kama huwezi kubeba shida zake hatulii na wewe.Tatizo mnatuacha tuliosingle mnadata na wamama waliona wanaume zao basi lieni kifo Cha paka
Kwani wewe ni baba yake kunawatu wanapenda kuwa serious na majamaa zao, watu ni wavumilivu, wanajali ila mie hadi uwe umeniposa au umenioa aisee siwezi shea nyota yangu naweweSingle wengi wafannya biashara, kama huwezi kubeba shida zake hatulii na wewe.
Mapenzi ya kisasa magumu sana
Kama hujaolewa niupo single tuWewe umeachwa lini tena daaah Tanzania hii...