Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mmoja waoWezi sana hawa wadada
Nilikutana nayo jijini Mwanza hii trick, naona imesambaa nchi nzima, sio Dar tu. Nilikataa massage na scrub kwa sababu binafsi"Karibu brother"
"Asante, nataka kunyoa ndefu tu na kupunguza hizi za pembeni"
Unamaliza, anaitwa binti akuingize kwenye chumba, unajua unaenda kuoshwa, lakini anakukalisha kwenye kiti.
"Nikufanyie skrabu"
"Hapana, labda siku nyingine"
"Inaonekana hujafanya skrabu siku nyingi. Hapa tuna skrabu ya coffee, ni nzuri sana. Ngoja ujaribu leo. Halafu nakuweka na chumvi."
Unatulia.
"Nikimaliza nitakupaka asali kwa dakika 10 kisha nakuosha"
"Inasaidia nini?"
"Uso wako una mafuta sana, sasa asali inasaidia kuondoa mafuta na chunusi"
Anakuminyaminya pale weee, kisha asali twiii. Halafu unasikia,
"Sasa hapa inatakiwa ukae kwenye stima kwa dakika kama kumi na tano hivi"
"Hiyo ya nini tena?"
"Inafanya uso wako uwe laini, na inaondoa makunyanzi"
"Okay"
"Pia tunafanya masaji ya kichwa, maana naona una mba kweli"
"Ohh"
"Pia tunaosha na miguu. Tunakata kucha"
"Ahhh, hiyo tutafanya siku nyingine"
Unamwachia uso na kichwa, anakuminyaminya mabega, unamaliza anakuosha, anakupaka tulosheni usoni, tumafuta kichwani anakupulizia na kale kasprei.
Anajipukuta, unauliza bei.
Anakusimamia mbele kama anataka kuanguka na tule tumatege, anaongea kama jambo la kawaida vile,
"Elfu sitini"
Mwenyewe ulipanga unyoe ndefu na kuchonga kwa elfu tano.
NB:
*Msisahau kuhakikisha kama majina yenu yamo kwenye daftari la wapiga kura.*
[emoji16][emoji16][emoji16] alikufanyia nini madameShenzi kabisa hao binti nilitaka kumlamba vibao mmoja
Kumbe wewe mkaka ??😳😳Wezi sana hawa wadada
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nenda bro ukaguswe na kibunda uwe nachoNatamani kuonja hiyo raha ya kushikwa kichwa pesa makaratasi tu
Nipo mbali na dar ila hiyo kitu nitajaribu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nenda bro ukaguswe na kibunda uwe nacho
Haya umeyajua leo?"Karibu brother"
"Asante, nataka kunyoa ndefu tu na kupunguza hizi za pembeni"
Unamaliza, anaitwa binti akuingize kwenye chumba, unajua unaenda kuoshwa, lakini anakukalisha kwenye kiti.
"Nikufanyie skrabu"
"Hapana, labda siku nyingine"
"Inaonekana hujafanya skrabu siku nyingi. Hapa tuna skrabu ya coffee, ni nzuri sana. Ngoja ujaribu leo. Halafu nakuweka na chumvi."
Unatulia.
"Nikimaliza nitakupaka asali kwa dakika 10 kisha nakuosha"
"Inasaidia nini?"
"Uso wako una mafuta sana, sasa asali inasaidia kuondoa mafuta na chunusi"
Anakuminyaminya pale weee, kisha asali twiii. Halafu unasikia,
"Sasa hapa inatakiwa ukae kwenye stima kwa dakika kama kumi na tano hivi"
"Hiyo ya nini tena?"
"Inafanya uso wako uwe laini, na inaondoa makunyanzi"
"Okay"
"Pia tunafanya masaji ya kichwa, maana naona una mba kweli"
"Ohh"
"Pia tunaosha na miguu. Tunakata kucha"
"Ahhh, hiyo tutafanya siku nyingine"
Unamwachia uso na kichwa, anakuminyaminya mabega, unamaliza anakuosha, anakupaka tulosheni usoni, tumafuta kichwani anakupulizia na kale kasprei.
Anajipukuta, unauliza bei.
Anakusimamia mbele kama anataka kuanguka na tule tumatege, anaongea kama jambo la kawaida vile,
"Elfu sitini"
Mwenyewe ulipanga unyoe ndefu na kuchonga kwa elfu tano.
NB:
*Msisahau kuhakikisha kama majina yenu yamo kwenye daftari la wapiga kura.*
Nadhani hii ipo kila mkoa ama mji mkubwaNipo mbali na dar ila hiyo kitu nitajaribu
Nilipataga mchepuko mmoja matata sanaa, yaani ni bonge la kisu kwenye hayo masaloon....Wezi sana hawa wadada
Aliingia kichwa kichwa eti sijui nikufanyie nini nikamwambia tafuta bwana nawewe upeleke kwa wenzio wakamfanyie hayo, na nikapiga marufuku kuingia humo [emoji7][emoji7]Alikufanyaje
Acha tu, usingizi wangu karudi kama jana mwaka hayupo, tunafika humo turekebishe kichwa na ndevu, sasa kule kuingia huko kumfuta nywele, kaanza ohoo sijui nini nami naingia nilimuwakia kama mwewe .[emoji16][emoji16][emoji16] alikufanyia nini madame
Survey tu hapo wapoHaya umeyajua leo?
Sio Sinza pekee