Kuwa makini mwanaume mwenzangu unapoingia saluni za Sinza

Kuwa makini mwanaume mwenzangu unapoingia saluni za Sinza

Kuna kijana yeye aliwambia ngoja nitoe hapo kwa Wakala mpaka leo [emoji23][emoji23][emoji23] sijui walimwamini vipi, halafu mwanachuo mfukoni ana buku 2 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliingia kichwa kichwa eti sijui nikufanyie nini nikamwambia tafuta bwana nawewe upeleke kwa wenzio wakamfanyie hayo, na nikapiga marufuku kuingia humo [emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23]wivu
 
Acha tu, usingizi wangu karudi kama jana mwaka hayupo, tunafika humo turekebishe kichwa na ndevu, sasa kule kuingia huko kumfuta nywele, kaanza ohoo sijui nini nami naingia nilimuwakia kama mwewe .
[emoji16][emoji16][emoji16] ungemchangamsha na viwili vitatu...analeta mchezo na usingizi wa watu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alijificha vyumbani huko yeye mwenyewe uso wake umemjaa machunusiii kibao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Umeyataka mwenyewe. Kunyoa Dar ni Tshs. 2,000/- tu bei standard. Ya kugongea ni mpaka 1,500/-. Sasa wewe unayetaka kunyoa kwa Tshs. 5,000/- tayari unakuwa umeshatangaza kuwa una hela za mchezo. Kwenye saluni za buku mbili hakunaga huo ujinga. Wenyewe wanajua anayekuja kwa buku mbili hana hela za mchezo.
 
They are strategically placed to suck cash out of you.

Acheni mliwe tu. Kwani hampendezi mkitoka humo?
Nilikutana nao wadada wa namna hiyo nadhani ni mtaa wa Kambarage jijini Mwanza, next to Vizano hotel. Baada ya kunyoa nilikakataa scrub na kuoshwa, nikawaambia naenda kuoga muda si mrefu.
 
Bei yangu ya kunyoa mpaka dakika hii mwaka huu 2024 ni maximum.of 3,000/= occasionally.
But always ni 2,000/=

Sinyolei machine, nanyolewa kisu(kile kijichuma unapachika wembe) au wembe straight ili kupata upara original unao meremeta

Wembe ni shillingi 200(mia mbili).
Nikulipe elfu 5 (5,000) for what reason.
 
Unamaliza, anaitwa binti akuingize kwenye chumba, unajua unaenda kuoshwa, lakini anakukalisha kwenye kiti.
"Nikufanyie skrabu"
"Hapana, labda siku nyingine"
"Inaonekana hujafanya skrabu siku nyingi. Hapa tuna skrabu ya coffee, ni nzuri sana. Ngoja ujaribu leo. Halafu nakuweka na chumvi."
Wana ushawishi utafikiri wametoka Tanga
 
Neema pekee kutoka uwaraza iliyonipa ni kutokuwa na gharama za saloon.

Nimeagizia mashine yangu ya panasonic Aliexpress. Kila baada ya siku mbili naipitisha kichwani maisha yanaendelea.
 
[emoji16][emoji16][emoji16]
Hiv mwanaume unawezaje kushikwa shikwa na demu alaf umuache hivihiv bila kumranda?
Hivi unajua gharama ya bao moja Sinza! 80,000 mkuu, hapo utachagua kuitoa hiyo hela ama kuacha jicho
 
Bei yangu ya kunyoa mpaka dakika hii mwaka huu 2024 ni maximum.of 3,000/= occasionally.
But always ni 2,000/=

Sinyolei machine, nanyolewa kisu(kile kijichuma unapachika wembe) au wembe straight ili kupata upara original unao meremeta

Wembe ni shillingi 200(mia mbili).
Nikulipe elfu 5 (5,000) for what reason.
Na Lile para lako bro, uli paswa unyolee shoka😆🤣
 
Back
Top Bottom