Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Hao matapeli usijjchanganye watakwambia sijui uwatumie kiasi cha pesa sijui cha form ujaze usijaribuHivi hawa Tala wa Facebook ni kweli wanatoa mikopo? na kama ni ndio kwa nini hawataki kuongea nao, yaani wanataka uchat nao tuu na pia ukiwaambia uende ofisini kwao pia hawataki najiuliza kama hii kitu ni genuine na kama ni wezi basi wengi wanapigwa na serikali iko kimya.
App gani hiyoUwe na simu janja na NIDA number.
Pesa ndani ya dkk 30. Ila kuanzia hapo tegemea usumbufu.
Hahahaaaaaa kwan ukishindwa kulipa inakuwaje mkuuHuko jela tutakua wengi sana sababu ya hawa watu mana sina mpango wa kulipa.
View attachment 2661064
Uyo poromoter 😁[emoji419][emoji419]
Branch riba zao zikoje ,,mfano ukikopa million ndani ya mieI mitatu unarudisha sh ngapi?Kausha tu mkuu ni washenzi sana.. ni mwezi wa 7 sasa huu hawaja nitafuta tena walichoka wenyewe wana sms zao za vitisho wala zisi kupe shida hizo ni script wame pewa huwa wana copy na kuwa tumia wote wala usi wajali [emoji91]wana no. Zaidi ya 50 zote ziko blocked
Kampuni nzuri ni branch tu hawa atuja wahi kukwazana kabsaa
Nathani branch walisitisha huduma za kutoa mikopo Sina uhakika kama wamerudi ila riba Yao ilikuwa ndogo sana kuliko kampuni zote za kukopesha mtandaoniBranch riba zao zikoje ,,mfano ukikopa million ndani ya mieI mitatu unarudisha sh ngapi?
App gani huko wanakopesha 1m 😁Walikuwepo Tala wakakimbia.
Hawa nao watakimbia japo watakuwa wamefaidi maana riba za 20% si haba.
Eti ukope 1,000,000 ulipe 1.2 kwa wiki