Kuwa makini na Apps za Mikopo

Kuwa makini na Apps za Mikopo

Hivi hawa Tala wa Facebook ni kweli wanatoa mikopo? na kama ni ndio kwa nini hawataki kuongea nao, yaani wanataka uchat nao tuu na pia ukiwaambia uende ofisini kwao pia hawataki najiuliza kama hii kitu ni genuine na kama ni wezi basi wengi wanapigwa na serikali iko kimya.
Hao matapeli usijjchanganye watakwambia sijui uwatumie kiasi cha pesa sijui cha form ujaze usijaribu
 
Kwa hizi comment inaonyesha watanzania wengi wasivyo waaminifu hata tubadilisheje viongozi tunaweza kupata wale wale
Maana wizi na ufisadi huanzia kwenye mamillion
 
Kausha tu mkuu ni washenzi sana.. ni mwezi wa 7 sasa huu hawaja nitafuta tena walichoka wenyewe wana sms zao za vitisho wala zisi kupe shida hizo ni script wame pewa huwa wana copy na kuwa tumia wote wala usi wajali [emoji91]wana no. Zaidi ya 50 zote ziko blocked

Kampuni nzuri ni branch tu hawa atuja wahi kukwazana kabsaa
Branch riba zao zikoje ,,mfano ukikopa million ndani ya mieI mitatu unarudisha sh ngapi?
 
Branch riba zao zikoje ,,mfano ukikopa million ndani ya mieI mitatu unarudisha sh ngapi?
Nathani branch walisitisha huduma za kutoa mikopo Sina uhakika kama wamerudi ila riba Yao ilikuwa ndogo sana kuliko kampuni zote za kukopesha mtandaoni
 
Mleta mada,mada yako haikukamilika ili tuchangie vyema,japo nashangaa watu wanatiririka,ni ajabu!!,sijui wasemacho ndicho ulichokusudia au mimi ndo uelewa wangu uko chini?,
 
Walikuwepo Tala wakakimbia.

Hawa nao watakimbia japo watakuwa wamefaidi maana riba za 20% si haba.

Eti ukope 1,000,000 ulipe 1.2 kwa wiki
App gani huko wanakopesha 1m 😁
 
Back
Top Bottom