Kuwa makini na Apps za Mikopo

Kuwa makini na Apps za Mikopo

UMEKUWA MTU WA KULAZIMISHWA KUFANYA MALIPO YA DENI LAKO KILA SIKU, MUDA HUU TUNAKUPA NAFASI YA MWISHO KULIPIA DENI LAKO SASAIVI, WEWE NI MTU MZIMA TUTAHAKIKISHA TAARIFA ZA UTAPELI ZINAFIKA KWA WATU WAKO WA KARIBU KAMA HAUTOFANYA MALIPO HAYO NDANI YA MASAA MAWILI...
EPUKA USUMBUFU, OMBA MENU LIPA SASA
Kilichonifanya nisiwalipe Ni sms Kama hizo,eti kisa nilipitiliza siku 1 tu!!
 
Pesa X Wana nidai 75k nilitaka kulipa kauli zao za kinyoko nikaacha kulipa na wakasema kadri na vyo Chelewa riba inpanda nikawajbu poa subrin nalipa walpga cm Sana nikaweka block all incoming call new number wakaanza piga kwa mzamin bro na
b mkubwa saiz wameacha wakaja wasap wakawa wanauliza kwa ukali unalipa au ulipi jibu haraka na ukijibu ovyo utaona cha Moto Nika waambia silipi na Nina kihitaji icho cha Moto kije nikipoze kiwa cha barid pumbavu ziiiii mpaka leo kauli zimewaponza
Mi no mbili za wadhamini nimeweka no za marehemu
 
Halafu branch hata ukope laki tano, hawakupigii simu Wala nini, wewe mwenyewe tu uamue kuwalipa kwa muda unaotaka.
Juzi nilikopa laki Saba nirejeshe ndani ya mwezi. Nataka nifike kiwango Cha kukopa laki nane nione Kama hawatanipigia simu.
Kuna siku niliwapigia kuwataarifu kwamba nitachelewa kulipa kwa siku tano, huyo mdada somebody Wella alinijibu.
"Usiwe na wasi wasi Kaka hatuna haraka kihivyo isitoshe mkopo wako Ni mdogo tu 300,000/"
Acha utapeli
 
TAARIFA KWA UMMA
HILI DENI LAKO LA MkopoWako, LINAENDA KUWAPONZA NDUGU ZAKO WOTE WAKIWEMO ............ MWENYE NAMBA .......PAMOJA NA.......... MWENYE NAMBA 07......
TUNAKUPA DAKIKA KUMI TU ZA KUOKOA JAHAZI KWA KUFANYA MALIPO
EPUKA USUMBUFU, OMBA MENU LIPA SASA
NAKALA KWA:-
 
Hivi hawa ni customer service gani wanamajibu ya hovyo hivi [emoji116]
Screenshot_20230621-165614.jpg
 
TAARIFA KWA UMMA
HILI DENI LAKO LA MkopoWako, LINAENDA KUWAPONZA NDUGU ZAKO WOTE WAKIWEMO ............ MWENYE NAMBA .......PAMOJA NA.......... MWENYE NAMBA 07......
TUNAKUPA DAKIKA KUMI TU ZA KUOKOA JAHAZI KWA KUFANYA MALIPO
EPUKA USUMBUFU, OMBA MENU LIPA SASA
NAKALA KWA:-
Huu unaitwa mkwara wa mkia wa mbuzi.
Kwanza kabisa Deni halimfungi MTU, sijui Kama wakopeshaji wanalijua Hilo.
Sana Sana watafungua kesi ya madai, Kama watakupata.
 
Back
Top Bottom