Kuwa makini na vijana wapiga mizinga

Kuwa makini na vijana wapiga mizinga

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Huko mitaani tunaishi na vijana wa kila namna ila hawa vijana ikiwemo hawa wapiga mizinga ya buku ni hatari sana kwanini nasema ni hatari
Unavyotoa buku nakumpa mpiga mzinga sio kwa anashindwa kuipata hiyo pesa mpaka anakuomba ila hii ni njia ya vibaka wanayoitumia kujua kama wewe ni mwepesi kuingilika Yani akikupiga beto moja basi utakuwa mwepesi kutoa ulichonacho

Hasara nyingine ya hawa vijana wapiga mizinga unavyotoa pesa na kumpa tayari unakuwa unampa ramani kumkaribisha nyumbani kwako aje kuiba mana anajua ata ikitokea ukimkamata tayari wewe bro umeshamuonesha roho nzuri utamuonea huruma anaweza akaja yeye mwenyewe au akatuma wenzie

Tuwe makini na Hawa vijana wapiga mizinga midogo midogo
 
Huko mitaani tunaishi na vijana wa kila namna ila hawa vijana ikiwemo hawa wapiga mizinga ya buku ni hatari sana kwanini nasema ni hatari
Unavyotoa buku nakumpa mpiga mzinga sio kwa anashindwa kuipata hiyo pesa mpaka anakuomba ila hii ni njia ya vibaka wanayoitumia kujua kama wewe ni mwepesi kuingilika Yani akikupiga beto moja basi utakuwa mwepesi kutoa ulichonacho

Hasara nyingine ya hawa vijana wapiga mizinga unavyotoa pesa na kumpa tayari unakuwa unampa ramani kumkaribisha nyumbani kwako aje kuiba mana anajua ata ikitokea ukimkamata tayari wewe bro umeshamuonesha roho nzuri utamuonea huruma anaweza akaja yeye mwenyewe au akatuma wenzie

Tuwe makini na Hawa vijana wapiga mizinga midogo midogo
Upo sahihi mkuu ushuhuda imenitoke ata mwezi aujaisha
 
Unatoaje hela hovyo kwa vijana wazima wasio na ulemavu wowote? Mtoto wa kiume apambane tu. Hela tutawapa dada zao kunapotokea ulazima na sio vinginevyo.
 
Just be cool and cheer up with everybody stop preaching negativity
 
Hahaha hahaha niliwaachia uskani vijana wangu kina The Stress Challengerr na The Mongolian Savage. Leo nimerudi jamvin nimeshtuka asee ma Tawfiq na ma qauli thabeet za kutosha za Imaam Hussein ibn ali A.S kipenzi cha dhati yani themongolian kabadili kawa mshia. Ikabidi nimchomee kwa mods wakampiga ban.

adriz RRONDO dronedrake
Dah! bange mbaya sana , nilikuwa namripot Mongolian ila mods wakawa wanamchekea Leo nimefurahi nimekuta limekula ban. Sasa ukiendeleza ujinga wako na wewe utakula mvua ukose kichaka.
 
Back
Top Bottom