King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umuofia Kwenu wana JF,
Kwa uchunguzi na utafiti nilioufanya,wengi wa watu walioficha Last seen na Read receipts kwenye whatsapp wana makandokando katika mishe wanazofanya...Ukitaka kujua mtu kama ni wa magumashi angalia whatsapp ,kama kaficha last seen na read receipts kuna kitu anakimbia.
Kama unafanya biashara na mtu mkapeana namba kama ana whatsapp angalia LS na RR ,ukikuta zimefichwa basi cheza naye kwa tahadhari.
Kwanini wanaficha last seen na read receipt? Kwanza hataki maswali ya nimekutumia ujumbe whatsapp mbona haujajibu? Pili akificha last seen hauwezi kujua kama alikuwa online muda gani,hivyo ni rahisi kukupiga tantalila.
Kuwa makini sana na watu wanaoficha last seen na read receipts hasa kwenye kufanya nao biashara ,(Baadhi)most of them uaminifu ni zero!
Minjingu.
Kwa uchunguzi na utafiti nilioufanya,wengi wa watu walioficha Last seen na Read receipts kwenye whatsapp wana makandokando katika mishe wanazofanya...Ukitaka kujua mtu kama ni wa magumashi angalia whatsapp ,kama kaficha last seen na read receipts kuna kitu anakimbia.
Kama unafanya biashara na mtu mkapeana namba kama ana whatsapp angalia LS na RR ,ukikuta zimefichwa basi cheza naye kwa tahadhari.
Kwanini wanaficha last seen na read receipt? Kwanza hataki maswali ya nimekutumia ujumbe whatsapp mbona haujajibu? Pili akificha last seen hauwezi kujua kama alikuwa online muda gani,hivyo ni rahisi kukupiga tantalila.
Kuwa makini sana na watu wanaoficha last seen na read receipts hasa kwenye kufanya nao biashara ,(Baadhi)most of them uaminifu ni zero!
Minjingu.