Kuwa makini sana ukifanya biashara na mtu aliyeficha Last seen na Read Receipts kwenye WhatsApp

Kuwa makini sana ukifanya biashara na mtu aliyeficha Last seen na Read Receipts kwenye WhatsApp

Mi WhatsApp yangu ukija unakuta ni giza huoni chochote sasa sijui utaona ni mzimu au jini 😂😅🤣
 
Aisee upo sahihi kabisa mimi wiki mbili zilizopita nimetapelewa elfu 30,na jamaa mmoja hivi eti wanajiita mikopo rahisi kwa kifupi wana matangazo mengi Instagram. Ndipo nikastest kama kukopa laki moja aisee akasema nitume taarifa whatsup. Ili atume form nijaze ila sharti nitume 30,000tsh ya ada ya form.nimetuma tu kaniblock kote.Ni nikapiga simu halopesa ili wamfuatilie huyo tapeli naambiwa ashatoa pesa yote. Nikasema no sweat leo nami nimekuwa mjinga.Ila ushauri wangu ukiona matangazo ya insta sijui mikopo rahisi ni matapeli wakubwa.
Pole sana mkuu kwa kulizwa.
 
Vipi wale ambao wameset hakuna blue tick. zinabaki kijivu tu na ameshasoma txt akitaka kujibu anajibu kama hataki unabakii kuona tick za kijivu na huna uhakika kama kasoma ama lah
 
Vipi wale ambao wameset hakuna blue tick. zinabaki kijivu tu na ameshasoma txt akitaka kujibu anajibu kama hataki unabakii kuona tick za kijivu na huna uhakika kama kasoma ama lah
 
Kwenye settings nenda privacy, halafu utaona options za dp, status nk, ingia dp chagua ionwe na contacts wako tu maana yake ni kwamba km hutaki mtu aone dp Basi hakuna kusave namba yake ktk simu yako. Au chagua nobody na hakuna yeyote ataona dp yako kwisha habari
dp ndo kitu gani icho mkuu
 
HITIMISHO:-

-Ukiona mtu anaficha Last Seen na Read Receipt yake ujue kunakitu anakimbia (tapeli)
-Ukiona mtu anaficha Status yake ili waone wacheche ujue anadaiwa
 
Mimi sioni kama ni issue hata kidogo, sijaficha chochote Ila mtu akiamua kufanya hivyo kuna shida gani, sioni shida kwa kweli.
 
Back
Top Bottom