binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Pole sana mkuu kwa kulizwa.Aisee upo sahihi kabisa mimi wiki mbili zilizopita nimetapelewa elfu 30,na jamaa mmoja hivi eti wanajiita mikopo rahisi kwa kifupi wana matangazo mengi Instagram. Ndipo nikastest kama kukopa laki moja aisee akasema nitume taarifa whatsup. Ili atume form nijaze ila sharti nitume 30,000tsh ya ada ya form.nimetuma tu kaniblock kote.Ni nikapiga simu halopesa ili wamfuatilie huyo tapeli naambiwa ashatoa pesa yote. Nikasema no sweat leo nami nimekuwa mjinga.Ila ushauri wangu ukiona matangazo ya insta sijui mikopo rahisi ni matapeli wakubwa.
Shida mbaya sana ila cha ajabu.Nilibakiwa na 2000sh nikabet yote nikashinda kwa zari la 60,000Tsh.Pole sana mkuu kwa kulizwa.
dp ndo kitu gani icho mkuuKwenye settings nenda privacy, halafu utaona options za dp, status nk, ingia dp chagua ionwe na contacts wako tu maana yake ni kwamba km hutaki mtu aone dp Basi hakuna kusave namba yake ktk simu yako. Au chagua nobody na hakuna yeyote ataona dp yako kwisha habari
Display photodp ndo kitu gani icho mkuu