Kuwa makini wakati wa kuchagua mke

Kuwa makini wakati wa kuchagua mke

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
893
Reaction score
1,021
Picha hii inakusisitiza kwamba kuchagua Mke ni uamuzi wa kifedha wa maana sana kwa wanaume..


Picha ya kwanza ni Amber Heard akiwa analia, na maandishi yanayosema "$7 MILIONI MALIPO YA TALAKA."

Hii na baada ya kutalakiana na mume wake

Picha ya pili nin Kim Kardashian, na "$200,000 KWA MWEZI KWA MATUNZO YA MTOTO."

Picha ya tatu ni MacKenzie Scott (zamani MacKenzie Bezos), na "$36 BILIONI TALAKA." Baada ya kutalakiana na Tajiri mkubwa duniani Bezos

Picha ya mwisho ni Melinda French Gates, "$76 BILIONI TALAKA." Baada ya kuachana na Bill Gates

Mwanaume chagua vyema mke wako. ima awe faida na Utajiri wako au hasara na umasikini wako.

Apatae mke bora apata kitu chema

IMG_20240814_090911_922.jpg
 
Je kama mwanaume ni mnyanyasaji utaacha kuomba talaka kisa utaonekana unefata Hela? Kati ya talaka zote nyingi wanaume ndo Wana makosa but huwezi kukuta wanaadmit kwamba Wana makosa
 
Picha hii inakusisitiza kwamba kuchagua Mke ni uamuzi wa kifedha wa maana sana kwa wanaume..


Picha ya kwanza ni Amber Heard akiwa analia, na maandishi yanayosema "$7 MILIONI MALIPO YA TALAKA."

Hii na baada ya kutalakiana na mume wake

Picha ya pili nin Kim Kardashian, na "$200,000 KWA MWEZI KWA MATUNZO YA MTOTO."

Picha ya tatu ni MacKenzie Scott (zamani MacKenzie Bezos), na "$36 BILIONI TALAKA." Baada ya kutalakiana na Tajiri mkubwa duniani Bezos

Picha ya mwisho ni Melinda French Gates, "$76 BILIONI TALAKA." Baada ya kuachana na Bill Gates

Mwanaume chagua vyema mke wako. ima awe faida na Utajiri wako au hasara na umasikini wako.

Apatae mke bora apata kitu chema

kama waligundua waume zao ni wake za watu je?.
au waligundua wake wenza ni wanaume je?

hawa matajiri wa ulaya na magharibi wengi upinde na ni pedo........ ogopa sana mkuu
 
Back
Top Bottom