Misamiati inazaliwa kila siku.Wazee wa Yango na Yango ni akina nani hao?[emoji16]
Ufafanuzi kuntu!Yango na yango ndo wale wale wa dry chama. Wazee wa kuloeka.
Siwezi kutumia CONDOM KWAKO AISEE...HATA IWEJE...Wengine sawa nitatumia..Wazee wa Yango na Yango tunacomment wapi? audacious love unatumiaga eti?
Nikiwa mkubwa nitaanza kutumia sasa hivi bado bikra 😛
Una ngozi nzuri sana wewe dadaNikiwa mkubwa nitaanza kutumia sasa hivi bado bikra 😛
Mzigua ulivyosema Yango na Yango mi najua ni dildo banaaa
Kumbe ni kamsamiati kapya maskioni mwangu.
Basi na mi naunga mkono, maana maendeleo hayana chama.
Yango Yango ndio nini wengine tupo porini Terminology mpya zinatupita kando.Mzigua ulivyosema Yango na Yango mi najua ni dildo banaaa
Kumbe ni kamsamiati kapya maskioni mwangu.
Basi na mi naunga mkono, maana maendeleo hayana chama.
Bikra ya mbele au nyuma?Nikiwa mkubwa nitaanza kutumia sasa hivi bado bikra 😛
AsanteUna ngozi nzuri sana wewe dada
Zote ninazoBikra ya mbele au nyuma?
Sasa mbona umecheka ww mwenyewe inamaana ulisema ni uongo [emoji12][emoji12]Nikiwa mkubwa nitaanza kutumia sasa hivi bado bikra 😛
Mimi huwa siamini mpaka nione picha yakeZote ninazo
Kwanza mtu wa kutumia ndom mi naona hamna haja ya kualala nae maana yqke humuamini hizo hisia za kualala nae kama humuamini zinatoka wapi!??Watu wanaotumia kondom ni watu wa ajabu sana...yani mnaona bora dhambi kuliko UKIMWI?!!
Mi siwez kumlala mtu kama simuamini kiasi hicho,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikipa jibu nitag mkuu mipia cjui aiseeMisamiati inazaliwa kila siku.Wazee wa Yango na Yango ni akina nani hao?[emoji16]