Kuwa mkweli, wewe huwa unatumia condom?

Hii ni ndo extra naked,ina raha yake kwakweli sio mchezo.....unaweza kununua hayo madude yako na kufika ndani ukaghairi ukauza mechi kwa kumtumbukiza abdala kichwa wazi kama alivyo bila hayo marough rider wala nini na wakati unayo mfukoni
 
Nyi wadanganyeni watoto wa watu wapige yango
 
So wewe mkuu huwa unanunua tu huduma...

Mimi situmii kabisa,cause haina maana
 
Mi condom natumia sana tena kwa kila tendo,shida imekuwa ni kwa hawa mademu wanakuwa hawazitak,siogopi ukimwi ila sipendi kuzaa na mwanamke ambae hajakiz vigezo vya kuwa babymama
 
Nani afanye kazi yakugonga mfuko.Namimi ata nikivaa baada ya demu kugoma kabisa bado ataniambia tu nivue maana bao halitoki kabisa.Nitasugua hadi kuwake moto.Wakati mwingine mkuyenge unavimba kabisa kwakubanwa na ilo limpira.sasa shida yote iyo yanini.
 
Yann hiyo mh me naona ukiitumia unakua hujamfanya kitu mwanamke pia anaweza kukuzarau kwakua hajaupata utamu wako halic
 
mkuu nishapiga mademu wenye ngwe ngwe kama watatu hivi na nikaambiwa wana wadudu ila sikuhofia kwan ant virus yangu nilopewa na babu zenji naiyamin sana kwa mdudu kama ukimwi hafui dafu
Ila kwel kwa men kama dem umemiandaa vilovo na ute ute ukawa wa kutosha utelezi kama wote vurus vipite wapi bila michubuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…