Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Nikiwa mkubwa nitaanza kutumia sasa hivi bado bikra 😛
Mwanaume unawashwa na condom!!?unatia shaka[emoji35] [emoji35]Wakuu nijiekeleze moja kwa 1 kwwny mada tuambiene ukweli hiv ww huwa unatumia condom kama ndio ni kwann na kama sio ni kwann mm stumii kwa kuwa huwa zinaniwasha harafu nikitumia huwa naona kama nmeibiwa. Pesa zangu yaani naona kama nmefanya condom na sio mwnamke ww je karibuni mtililike.View attachment 957585View attachment 957586View attachment 957587View attachment 957588
Nini mkuu??diet au??
Hi imenitokea mara kadhaa, aise!Hii ni ndo extra naked,ina raha yake kwakweli sio mchezo.....unaweza kununua hayo madude yako na kufika ndani ukaghairi ukauza mechi kwa kumtumbukiza abdala kichwa wazi kama alivyo bila hayo marough rider wala nini na wakati unayo mfukoni
Ameshatoa jibu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikipa jibu nitag mkuu mipia cjui aisee
Hiyo hiyo unayoijua wewe..Bikra ipi hiyo!
Hahahaa nimekusoma iiiiiiiiiiiiiiii #Fiesta_2017Mamdogo mzigua ameshaelezea maana kamili kua ni kupiga kavukavu yaani ni nyama to nyama almaarufu ni wazee wa kuloeka.
Mkuu kumbe tupo wengi webye ant virus , naomba wenye ant virus tujuane plzbinadamu hatufanani wengine tuna ant virus hatupati maambukizi ya ajabu kama ukimwi so tunapekua tu
Nije ni ku PVZote ninazo
AiseeehYango na yango ndo wale wale wa dry chama. Wazee wa kuloeka.
Hahahaa nimekusoma iiiiiiiiiiiiiiii #Fiesta_2017