Kuwa Msemaji Simba ni kazi kweli unajihami, ghafla unakumbuka huna uwezo unaanza kuomba support

Kuwa Msemaji Simba ni kazi kweli unajihami, ghafla unakumbuka huna uwezo unaanza kuomba support

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Kuisemea Team ambayo haina uwezo ni kazi jamani nyie achen Mtu unajitamba Jumamos tunaenda kumaliza kazi Mashabiki Njooni..

Mnyama Robo anatinga,ghafla Akili inarudi inakwambia huo uwezo huna,Team lako goigoi... unaanza kuomba Support ya Mashabiki tena onhoo hili hatuwez sisi na Mo na Mangungu Mara hili sio la Wachezaji tu tunawahitaji Nyie😂😂😂


"Wanasimba tukiunganisha nguvu Jwaneng hawezi kutoka salama Dar es Salaam. Robo fainali zote nne zilizopita nyie ndio mmeipeleka Simba. Kama utakuja uwanjani sio tu kushangilia bali kuipeleka Simba yetu robo fainali. Mimi naamini Wanasimba tukiamua jambo letu hakuna wa kutuzia."- Ahmed Ally.

Kumbe ikitokea Mkafungwa au mkashikiliwa Droo mkashindwa kufuzu inaonekana mtawalazia Zigo Mashabiki Kua hawakuja kuunganisha Nguvu??😂😂
 
Japo nawaona wakijipapatua na kupita. Ila wanapita kwenye tanuri la moto. Hasa huyu mropokaji wao. Mtindo aliamua kuutumia sio wa usemaji ule ni uropokaji. Sasa bora uwe hivyo na timu yako iwe vizuri. Yeye amekazana na mambo ya YANGA tu. Yule bwana anapitia magumu mno
 
Japo nawaona wakijipapatua na kupita. Ila wanapita kwenye tanuri la moto. Hasa huyu mropokaji wao. Mtindo aliamua kuutumia sio wa usemaji ule ni uropokaji. Sasa bora uwe hivyo na timu yako iwe vizuri. Yeye amekazana na mambo ya YANGA tu. Yule bwana anapitia magumu mno
Mnooo😂
 
Kuisemea Team ambayo haina uwezo ni kazi jamani nyie achen Mtu unajitamba Jumamos tunaenda kumaliza kazi Mashabiki Njooni..

Mnyama Robo anatinga,ghafla Akili inarudi inakwambia huo uwezo huna,Team lako goigoi... unaanza kuomba Support ya Mashabiki tena onhoo hili hatuwez sisi na Mo na Mangungu Mara hili sio la Wachezaji tu tunawahitaji Nyie[emoji23][emoji23][emoji23]


"Wanasimba tukiunganisha nguvu Jwaneng hawezi kutoka salama Dar es Salaam. Robo fainali zote nne zilizopita nyie ndio mmeipeleka Simba. Kama utakuja uwanjani sio tu kushangilia bali kuipeleka Simba yetu robo fainali. Mimi naamini Wanasimba tukiamua jambo letu hakuna wa kutuzia."- Ahmed Ally.

Kumbe ikitokea Mkafungwa au mkashikiliwa Droo mkashindwa kufuzu inaonekana mtawalazia Zigo Mashabiki Kua hawakuja kuunganisha Nguvu??[emoji23][emoji23]
Unakumbuka G5
 
Viongozi wa Simba wanachoangalia ni viingilio na siyo support,wapo kupiga hela hawana uchungu na mashabiki,hizo kelele wanazopiga wanataka hela za kuingia robo wasikose,ndo maana madili kibao usajili sifuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu punguza Jazba..sema huu ukweli taratibu,Una point.
 
Back
Top Bottom