Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,981
- 3,604
Ni kauli nimeisikia nikiwa katika bar moja karibu na kumbi za bunge mkoani Dodoma, Yaani huyu mrembo alikuja mida ya sa 5 asubuh alipowaona wenzie akatoa burungutu la hela Kama mia 4 ama 5 ivi na kuwaonyesha wenzie.
Kwa kuwa nilienda jikon kuona aina ya samaki nikamwita Dada naomba usogee tukakaa kwa meza nikaona kusudi kukoleza stori niagize na kinywajii mim nikaita TBL yeye akanywa Heinken kwenye stori ndio akafunguka ....... Kweli Dunia ina siri nyingi sana nilijuta kujua kapataje pesa zile.....
kwanza yule demu alikua ni mtumia madawa ya kulevya pia anatumia dozi ya ARV na alitoka kulala na mh. ambaye ni kigogo ......baada ya kuagiza Kama bia 4 akaniambia nimekupenda please subiri niende nikaoge nakuja usijali hii bili nalipia Mimi ngoja nikaoge tafadhali usiondoke
nikaendelea kukaa akatoa Kama 50k akapewa balance yake na kuniacha pale sababu ilikua bado mapema nikasema leo ngoja nizijue siri za vigogo
Kiukweli kuna watu wanaishi maisha ya hatari sana demu akaniambia pesa walipewa Kama laki 9 ivi nyingine watapewa jioni na walikuwa wawili ndio mara zote huambatana na uyo kigogo
halalagi na demu mmoja.
kuna watu wengi wanatembea huku wamekufa....... deadly walking. kwanza aliniambia yeye kima cha chini kulala na mwanaume ni laki 3 na mtu pekee anayemtia bure ni dereva tax wake wa kila siku mwingine haiwezekani labda ampende mwenyewe na mim ni miongoni mwa tuliopendwa na yeye.
sikuonyesha uwoga nikajitia pombe ipo level nikawa nampapasa huku nikimsihi nina appointment na mpenz wangu lazima atakuja Ila nitamtafuta mda wa jioni akasisitiza niwah kwani jion haiwezekani.
mrembo alikuwa ni mweusi msukuma ana umbo kubwa na minyama sana ana kg Kama 120 mrefu kweli bonge sana.
nikasema hpa ni maji na mafuta mim sipend malnutrition species.
kilichokuja kunichosha zaidi kumbe yule mrembO amesoma na ana Degree ooooooh mama Yaani anajua anachokifanya na anajua anampataje mtu fulani mmmmmhhh
tembea na sema na watu ujue vitu kwanza ananiambia mim kwenye bank account yangu nina zaidi ya 300M na sina Business yeyote hapa mjin mim ni mhudumu wa bar tu Ila silipwagi mshahara najilipa mwenyewe.....LADIES ARE CRYZ MENS.ARE. MAD. .
Nimeshtuka kuwa nimekutana na mtu anayejiamin sana haogopi kufa na yuko tayari kufa muda wowote. nilichukua namba mpaka leo bado sijaifuta najiuliza inawezekanaje刚刚阿姨语言表达你女婿vv
Kwa kuwa nilienda jikon kuona aina ya samaki nikamwita Dada naomba usogee tukakaa kwa meza nikaona kusudi kukoleza stori niagize na kinywajii mim nikaita TBL yeye akanywa Heinken kwenye stori ndio akafunguka ....... Kweli Dunia ina siri nyingi sana nilijuta kujua kapataje pesa zile.....
kwanza yule demu alikua ni mtumia madawa ya kulevya pia anatumia dozi ya ARV na alitoka kulala na mh. ambaye ni kigogo ......baada ya kuagiza Kama bia 4 akaniambia nimekupenda please subiri niende nikaoge nakuja usijali hii bili nalipia Mimi ngoja nikaoge tafadhali usiondoke
nikaendelea kukaa akatoa Kama 50k akapewa balance yake na kuniacha pale sababu ilikua bado mapema nikasema leo ngoja nizijue siri za vigogo
Kiukweli kuna watu wanaishi maisha ya hatari sana demu akaniambia pesa walipewa Kama laki 9 ivi nyingine watapewa jioni na walikuwa wawili ndio mara zote huambatana na uyo kigogo
halalagi na demu mmoja.
kuna watu wengi wanatembea huku wamekufa....... deadly walking. kwanza aliniambia yeye kima cha chini kulala na mwanaume ni laki 3 na mtu pekee anayemtia bure ni dereva tax wake wa kila siku mwingine haiwezekani labda ampende mwenyewe na mim ni miongoni mwa tuliopendwa na yeye.
sikuonyesha uwoga nikajitia pombe ipo level nikawa nampapasa huku nikimsihi nina appointment na mpenz wangu lazima atakuja Ila nitamtafuta mda wa jioni akasisitiza niwah kwani jion haiwezekani.
mrembo alikuwa ni mweusi msukuma ana umbo kubwa na minyama sana ana kg Kama 120 mrefu kweli bonge sana.
nikasema hpa ni maji na mafuta mim sipend malnutrition species.
kilichokuja kunichosha zaidi kumbe yule mrembO amesoma na ana Degree ooooooh mama Yaani anajua anachokifanya na anajua anampataje mtu fulani mmmmmhhh
tembea na sema na watu ujue vitu kwanza ananiambia mim kwenye bank account yangu nina zaidi ya 300M na sina Business yeyote hapa mjin mim ni mhudumu wa bar tu Ila silipwagi mshahara najilipa mwenyewe.....LADIES ARE CRYZ MENS.ARE. MAD. .
Nimeshtuka kuwa nimekutana na mtu anayejiamin sana haogopi kufa na yuko tayari kufa muda wowote. nilichukua namba mpaka leo bado sijaifuta najiuliza inawezekanaje刚刚阿姨语言表达你女婿vv