Kuwa mwanaume ni utumwa (The Anatomy of Female Power)

Kuwa mwanaume ni utumwa (The Anatomy of Female Power)

Bro Ndio nimekuelewa Ila kwenye swala la kusema nimesema kuwa wanawake wote ni innocent hapana Mimi sijaamanisha hivyo

Mimi binafsi nimesema kwamba kwenye suala la manipulation ni jinsia zote kwenye mahusiano zinafanya haijalishi jinsia inategemeana uwezo na ujuzi wa kumanipulate mwenza wake mwenye ujuzi mwingi ndie anaeshinda

Kuhusu suala kwenda jela baadhi hao wanaume wanatumia violence badala ya manipulation kitu ambacho ni kosa kisheria ,violence sio manipulation huwezi kwenda jela kwa kutumia manipulation Hamna Sheria hio .
manipulation ni kitendo Cha kushawishi kwa kutumia uwongo ,vitisho au ahadi kumfanya mtu kufanya Jambo kwa manufaa yako binafsi bila muhusika kunafaika na chochote kutoka kwako baada ya kufanya Jambo ulilotaka .mfano; single mother anamwaaminsha mwanaume kulea watoto wasio wake atapata upendo na heshima kutoka kwa mama hao watoto na watoto wake kumbe Nia halisi ya huyo single mother ni kumtumia huyo mwanaume kulea watoto wake Huku yeye anaendeleza mahusiano na baba wa hao watoto.

Tofauti kabisa na violence ambayo ni kutumia njia ya kutumia kipigo kulazimisha mtu kufanya Jambo

Manipulation inahitaji kutumia saikolojia,minds game na udhaifu wa mtu kumfanya afanye Jambo kwa matakwa yako Ila kuhusu kutoa kipigo hilo sio manipulation

Shida iliyopo sisi wanaume wengi wetu tume base kwenye physical strength kuliko kutumia akili ndio maana wengi wetu tukikutana na manipulation Kama mindsgame tunakuwa rahisi kuwa manipulated hatujui haya mambo tunaona wanawake hawaeleweki kumbe ni sisi ndio tumeshindwa kuona manipulation inayofanyika ambayo Kama unaujuzi na manipulation game unaona mchezo kweupe Tena Kama ni smart unaweza hata uka counter mchezo bila ya kuanza kutumia nguvu,
Mkuu ukijifunza manipulation game kwa kina zaidi utaona manipulation ambayo wanatumia wanawake ni nyepesi na inaonekana haitaji kukaa kuumiza kichwa Ila Kama hujui chochote lazima utaogopa hata kuoa,
Uzuri ukijua manipulation ni ngumu Sana kuwa manipulated
Iyo iyo manipulation ukimfanyia mwanamke anaweza kukugeuzia kibao akasema umembaka na zikakutoka pesa nyingi tu, mfano tunaona wanachokutana nacho wachezaji wa ulaya mfano neymar, emanuel eboue n.k lakini yeye akikufanyia manipulation ukasema ukalalamika alikulaghai kwaiyo akurudishie pesa ulizomuonga utaonekana fala tu.

Ukweli ni kwamba sheria zimembana mwanaume lakini zimeacha mianya ya mwanamke kumpiga mwanaume. Manipulation unayomfanyia mwanamke inaweza kukutokea puani lakini ile manipulation anayokufanyia mwanamke imehalalishwa kijamii na kisheria
 
Wanaume kazi wanayooo, hapo badooo,
Woiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Kuhusu suala kwenda jela baadhi hao wanaume wanatumia violence badala ya manipulation".....kumbuka kuna haina tatu za violence.
1. Psyclogical violence
2. Physical violence
3. mental violence.
Hizo zote hutumika na mwanamke ili kufanya manipulation zake ili atumikishwe mwanaume, ila mwanaume ukitumia aina ya violence yoyote ku-manipulate a wife jamii ita kuhukumu vibaya we ni jatili, huna mapezi, nk ata jela unaweza akafungwa kama hauko careful.........
Hiki ndicho nilichokua namuelekeza jamaa yangu. Unajua hizi taratibu za kisheria na kijamii zimewekwa zamani sana kipindi ambacho mwanamke alikua dhaifu na hajaelimika ndio maana waliziweka wakachukulia kwamba mwanamke ni kiumbe fulani naive and innocent

Sasa dunia imebadilika mwanamke nae kaamka ashajua kuna loopholes ambazo akizitumia kimkakati zinamnufaisha ndio hapa sasa tunaziona hekaheka za wakina klyn kutaka utajiri ambao wamemkuta nao mwanaume
 
Iyo iyo manipulation ukimfanyia mwanamke anaweza kukugeuzia kibao akasema umembaka na zikakutoka pesa nyingi tu, mfano tunaona wanachokutana nacho wachezaji wa ulaya mfano neymar, emanuel eboue n.k lakini yeye akikufanyia manipulation ukasema ukalalamika alikulaghai kwaiyo akurudishie pesa ulizomuonga utaonekana fala tu.

Ukweli ni kwamba sheria zimembana mwanaume lakini zimeacha mianya ya mwanamke kumpiga mwanaume. Manipulation unayomfanyia mwanamke inaweza kukutokea puani lakini ile manipulation anayokufanyia mwanamke imehalalishwa kijamii na kisheria
Bro sometimes angalia na nchi
Mimi naongelea hapa Tanzania sio huko ulaya ambako kweli Sheria zao zimekaa kifeminist zaidi pia inachangia na wanaume huko kupenda ushoga zaidi ndio maana Kuna ujinga Kama huo tofauti na Huku kwetu japo Sheria zipo pia jamii zinapinga ujinga Kama huo
Huku kwetu na maeneo ya uarabuni huwezi kumsingizia mtu hivyo kizembe na kumchafua halafu utoke salama
 
Iyo iyo manipulation ukimfanyia mwanamke anaweza kukugeuzia kibao akasema umembaka na zikakutoka pesa nyingi tu, mfano tunaona wanachokutana nacho wachezaji wa ulaya mfano neymar, emanuel eboue n.k lakini yeye akikufanyia manipulation ukasema ukalalamika alikulaghai kwaiyo akurudishie pesa ulizomuonga utaonekana fala tu.

Ukweli ni kwamba sheria zimembana mwanaume lakini zimeacha mianya ya mwanamke kumpiga mwanaume. Manipulation unayomfanyia mwanamke inaweza kukutokea puani lakini ile manipulation anayokufanyia mwanamke imehalalishwa kijamii na kisheria
Umeliweka sawa kabisa, kwa mfano mwanaumme ukikataa kununua cha kula siku moja nyumbani kumtia adabu mwanamke, akishinda jaa na watoto kwa 24hrs tu, mda ambao hawawezi kufaa kwa njaa, akukupeleka police utakamatwa, ila mwanamke akikataa kutoa huduma yoyote nyumbani huwezi kumshitaki popote,kila mtu atakushauri achana nae, our society sio fair kwa wanaume.
 
Umeliweka sawa kabisa, kwa mfano mwanaumme ukikataa kununua cha kula siku moja nyumbani kumtia adabu mwanamke, akishinda jaa na watoto kwa 24hrs tu, mda ambao hawawezi kufaa kwa njaa, akukupeleka police utakamatwa, ila mwanamke akikataa kutoa huduma yoyote nyumbani huwezi kumshitaki popote,kila mtu atakushauri achana nae, our society sio fair kwa wanaume.
Tusichoke kuwaelewesha ndugu zetu, kujitoa kwenye matrix uliyoiishi na kuiamini miaka yako yote sio rahisi
 
Hiki ndicho nilichokua namuelekeza jamaa yangu. Unajua hizi taratibu za kisheria na kijamii zimewekwa zamani sana kipindi ambacho mwanamke alikua dhaifu na hajaelimika ndio maana waliziweka wakachukulia kwamba mwanamke ni kiumbe fulani naive and innocent

Sasa dunia imebadilika mwanamke nae kaamka ashajua kuna loopholes ambazo akizitumia kimkakati zinamnufaisha ndio hapa sasa tunaziona hekaheka za wakina klyn kutaka utajiri ambao wamemkuta nao mwanaume
Mkuu Soma hizi picha vizuri
Utaona tofauti Kati manipulation and violence
Screenshot_20240825-143400.png
hii ni violence
Screenshot_20240825-143335.png
 
Kwahiyo sasa unataka 50/50 na mwanamke si ndio maana yake? Mwanamke atabaki mlezi wa familia na mwanaume ni provider ndio iko hivyo toka enzi.
Kila mtu ana principles zake mzee baba, kwangu mimi kama mke wangu ni mama wa nyumbani nita-provide kila kitu ila kama ana kipato lazima alete kitu mezani.

Tukiamua kuishi pamoja maana yake kila mtu anatumia muda wa familia, kwaiyo lazima huo muda anaotumia uwe na output kwa mustakabali wa familia, sasa kama anaenda kazini halafu haleti chochote nyumbani maana yake anatumia vibaya muda wa familia, ni bora abaki nyumbani tu afanye vitu productive mfano kulea watoto
 
"Kuhusu suala kwenda jela baadhi hao wanaume wanatumia violence badala ya manipulation".....kumbuka kuna haina tatu za violence.
1. Psyclogical violence
2. Physical violence
3. mental violence.
Hizo zote hutumika na mwanamke ili kufanya manipulation zake ili atumikishwe mwanaume, ila mwanaume ukitumia aina ya violence yoyote ku-manipulate a wife jamii ita kuhukumu vibaya we ni jatili, huna mapezi, nk ata jela unaweza akafungwa kama hauko careful.........
Mkuu wewe bado hujaelewa maana ya violence na manipulation ni vitu viwili tofauti
Soma Kwanza hizi picha halafu twende sawa
Screenshot_20240825-143400.png
kwa hapa Tanzania hakuna Sheria Ina inayomruhusu mwanamke yeyote yule kutumia violence elewa Kwanza maana tofauti ya violence na manipulation ndio utajua Mimi naongelea nini
 

Attachments

  • Screenshot_20240825-143335.png
    Screenshot_20240825-143335.png
    152.6 KB · Views: 3
Mkuu wewe bado hujaelewa maana ya violence na manipulation ni vitu viwili tofauti
Soma Kwanza hizi picha halafu twende sawa
View attachment 3078849kwa hapa Tanzania hakuna Sheria Ina inayomruhusu mwanamke yeyote yule kutumia violence elewa Kwanza maana tofauti ya violence na manipulation ndio utajua Mimi naongelea nini
Mkuu tuko pamoja ila hutaki kutuelewa violence is not only physical kuna psychplogical violence ambao ni hatari hata kuliko physical, wanawake hutumia sanaa psycological violence ku-manipulate au ku- enslave men ila mwanaume akitumia mbinu hizo hizo jamii ina muona as unfair. Usijikite kwenye definitions za dictionary hapa tuna tumia operational definition ni technical defns
 
Umeliweka sawa kabisa, kwa mfano mwanaumme ukikataa kununua cha kula siku moja nyumbani kumtia adabu mwanamke, akishinda jaa na watoto kwa 24hrs tu, mda ambao hawawezi kufaa kwa njaa, akukupeleka police utakamatwa, ila mwanamke akikataa kutoa huduma yoyote nyumbani huwezi kumshitaki popote,kila mtu atakushauri achana nae, our society sio fair kwa wanaume.
Sometimes mnayakuza mambo tu kwa mfano hapa TZ Hamna mwanaume amewahi kukamatwa apelekwe et kisa hajaacha hela kula nyumbani wapi hio imawahi kutokea nipe ushahidi mbona Kama ndio hivyo jela zingejaa😂😂😂
 
Kila mwanaume angeweza kusoma hiki kitabu cha Esther Villar In her book "THE MANIPULATED MAN "

Mwanamke jinsi anavo rubuni mwanaume tangu zamani na kuwabadili kua watumwa wao wa milele wanawake hujifanya kwamba ndo wanao nyanyaswa na kutumikishwa wakati wao ndo wanyanyasaji wakubwa wa wanaume.

Anaanza na uchumba na vizawadi utii salamu nzuri wakati lengo lake ni kukuteka ungie kwenye kiganja chake umtumikie kwenye ndao. Mwanaume anakua mutumwa wa maisha kwa kuangaikia kulea kulisha kilinda kutibu kulaza mwanamke na kizazi chake, kwa kurubuniwa ns furaha ya mda mfupi tu (sex) isio zidi hata dakika 15, wana furahi na kupenda kumiliki ndume zima kwa ajiri yake tu kama kifa chake (women are teritorial) na hatiki kifaa chaje kitumikie mgine nikama mtu anae miliki mtumwa hataki huyu mtumwa afanye kazi kwa mtu mgine

Mwanamke ana fake maisha kujionyesha ni dhaifu katika jamii ili apewe attention na huruma wakutumikisha mwanaume, mwanaume ana funzwa kufia mwanamke kwa lolote na watoto mwanaume ni kiumbe kinacho nyanyaswa kuliko viumbe vyote duniani. Mali zote zinapewa au kugawanywa nusu kwa nusu akileta ujinga wakuomba off au talaka

Sherehe za ndoa ni kwa ajiri ya mwanamke ndugu na marafiki zake kupongezana kuweza kufanikiwa kujipatia mtumwa wa milele, wakati mwanaume kwenye hiyo ndoa anapugia wenzake mkono wa byee, mimi ni mesha enda katika utumwa nimenaswa usela ndo mwisho bye bye. Hapo hapo state iko tayari kumuajibisha akishindwa kuajibika kutoa huduma kwa boss wake kwa jina la walfare za watoto.

Kila anapotaka kujinasua mwanaume anatishwa kwanini unajifuria unajipikia una wosha vyombo unapiga deki mwenyewe hizo zote ni kujengea mwanaume hofu endelee kwenye utumwa.

Toa mchonyo uhudumiwe na wewe.
 
Mkuu tuko pamoja ila hutaki kutuelewa violence is not only physical kuna psychplogical violence ambao ni hatari hata kuliko physical, wanawake hutumia sanaa psycological violence ku-manipulate au ku- enslave men ila mwanaume akitumia mbinu hizo hizo jamii ina muona as unfair. Usijikite kwenye definitions za dictionary hapa tuna tumia operational definition ni technical defns
Mkuu elewa Kwanza Mimi sipingani na wazo lako kuwa wanawake sometimes wanatumia violence kunyanyasa wanaume kuhusu hilo sipingi Niko sambamba na wewe kwa sababu nimeyaona kwenye jamii hayo mambo maana Kuna wanawake makatili kwao kumuekea sumu mtu sio shida
Ila kwenye suala la kwamba ufanye violence halafu usichukuliwe Sheria Hilo Mimi na pinga labda Kama mtu asiamue kureport
kwa hapa Tanzania any violence or abuse ni kosa kisheria haijalishi wewe ni Nani au jinsia gani ukileta ujinga utachungulia nondo mfano mzuri angalia demu wa kanumba Sijui ni Nani jina limenitoka halihisiwa amehusika kwenye mauaji ya kanumba mbona alikaa lockup

Sitaki kuongelea nchi za USA maana huko ni lawless nations, raia wa kawaida huko kumiliki bunduki ni Kama kimiliki nguo tu no problem
 
Back
Top Bottom