Kuwa mwanaume sio jambo dogo

Kuwa mwanaume sio jambo dogo

NAKAZIA,

Wanaume tunapitia mambo mengi sana .
Unaanza kuhangaika vibarua, unachimba mtaro, unalala njaa n.k mwanamke ambaye humjui km atakuwa mkeo yupo kwao anasimu kubwa anaangalia vichekesho TikTok.
Baada ya kujipata, unakutana naye njiani unamtongoza anakukubali.
Anaanza kukufanyia visa, hapo unaanza kurudi saa 5 usiku ili usisikie gubu lake.
Sikiliza mshua ya nay wa mitego ft linah
 
Mkuu nikupe siri, hakikisha kama mwanaume unauwezo wa kujihudumia kila kitu sio kipesa tu ila kimaisha zaidi.

Mfano, hakikisha unaweza kujipikia, kujifulia, kuwa na furaha na kuwajijali kiusafi na kimavazi.

Wanawake wengi wana control na kutusumbua akili sababu wanajua hatuwezi jitegemea kwenye hivyo vitu.

Ukijimudu hivyo vitu, hakuna mwanamke anaweza kuwa na jeuri mbele yako.

Hakikisha mwanamke akijikadiria aone kabisa hata akiondoka unaweza kujihudumia na mwanamke mwingine akakupenda.

Ni simple sana, jijali.

The supreme happiness of Life consists in the conviction that one is Loved. - Victor Hugo
 
Umesahau ajue na kupiga nyeto ili madem wasimsumbue
Hapana labda kama hataki demu. Lengo hapa sio ilo bali lengo ni mwanamke ajue mwanaume ni mtu kamili.

Mwanaume akishindwa kumuonesha mwanamke kuwa yeye ni mtu kamili lazima huyo mwanamke amdharau tu.
 
Back
Top Bottom