To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mtakuja kunipiga maana nishazoea kufurahi na yeyote.Jf amani itawale🥴Wala siharibu kwanza nimefunga, ila napenda mizaha yenu bhana nkamu nawe 😹😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakuja kunipiga maana nishazoea kufurahi na yeyote.Jf amani itawale🥴Wala siharibu kwanza nimefunga, ila napenda mizaha yenu bhana nkamu nawe 😹😹😹
Halafu imetokea nimefungua uzi nimewakuta 😹😹Acha ukorofi,Kuna muda mwacheni apige story jamani, please
Hapana,pesa inabeba vyotekama furaha ndio amani mkuu, Basi pesa haina uwezo wa kuleta amani, kama ni hivyo basi pesa haina uwezo wa kuleta furaha.
Kwako ukiwa na pesa unapata furaha, ni kwa sababu hizo pesa huna, ungekuwa nazo ungesema jambo lingine kabisa
Wala hupigwi humu furaha tupu 😹😹Mtakuja kunipiga maana nishazoea kufurahi na yeyote.Jf amani itawale🥴
Amina🙏Wala hupigwi humu furaha tupu 😹😹
Hapana, pesa haileti furaha, wala haileti amani madamHapana,pesa inabeba vyote
Mh itabidi niweke pamba masikioni nisizisikie kelele zako...🤣🤣🤣🤣🤣 We nakulia timing tu,utaomba msaada wa kukusaidia hatakuwepo,we andika tu uwezavyo....🤭
😔Mh itabidi niweke pamba masikioni nisizisikie kelele zako...
najiuliza kwanini Sir wetu alifanya sex kuwa pleasurable kwani isingekua ivyo watu wasingefanya sex kwaajili ya kuzaliana tuu.. mhhh respect to SirNikiona watu wangu wa karibu hasa wazazi wanafuraha napata amani ya moyo.
Pia nikiweza kuafford mambo nayoyataka bila kumbugudhi mtu nakuwa na amani tele.
Plus, hivi vitu vitatu nikipata nalala fofofo; mbususu tamu, chakula kitamu, na kibunda.
hivi tunda la kati ilikuwa la mti kweli?najiuliza kwanini Sir wetu alifanya sex kuwa pleasurable kwani isingekua ivyo watu wasingefanya sex kwaajili ya kuzaliana tuu.. mhhh respect to Sir
myth hizo hakuna ukweli wowotehivi tunda la kati ilikuwa la mti kweli?
uliwai kuua mtu mkuunatamani sana kila mtu ajue siri kubwa nilio nayo moyoni mwangu ijapo kua niukweli unao uma saaana.saana.