TyreQ
Senior Member
- Oct 12, 2018
- 130
- 125
Wadau!
Nimemsikia mkuru flani wa TCRA anasema kila fundi simu, Redio na Tv kuwa na leseni ya TCRA. Pia akaongeza kuwa na wauzaji waote wa vifaa hivi wawe na leseni hiyo (means ya biashara na ya TCRA).
Je leseni hizi zinatoka bure au nazo zinahitajika bakshishi?
Nimemsikia mkuru flani wa TCRA anasema kila fundi simu, Redio na Tv kuwa na leseni ya TCRA. Pia akaongeza kuwa na wauzaji waote wa vifaa hivi wawe na leseni hiyo (means ya biashara na ya TCRA).
Je leseni hizi zinatoka bure au nazo zinahitajika bakshishi?