Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,108
Asubiri kanunuliwe IPhone X Note 5 au avutiwe Mark X ndipo anakapojua uchungu wa mwanaUzuri na ww una mtoto wa kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asubiri kanunuliwe IPhone X Note 5 au avutiwe Mark X ndipo anakapojua uchungu wa mwanaUzuri na ww una mtoto wa kike.
Afungue kesi ya utapeli wa kuaminika[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nimecheka sana.
Yaani miamala ya tigo pesa daily na galaxy juu alafu hujapata kitu!!!!
Daaaa huyo binti ni tapeli
I cant tolerate anymore nimechoka.Pole mkuu ila ungevumilia ukala kidogo [emoji16][emoji6]
Nimecheka sana.
Yaani miamala ya tigo pesa daily na galaxy juu alafu hujapata kitu!!!!
Daaaa huyo binti ni tapeli
Unafikiri kitakuwa kibaya basi.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]...
Halafu kiwe kizuri wema akasome na inye masogange anasubiri!!!.
Ulikuw una react vip, hapo kwny simple reply Mkuu????Dah, umenikumbusha sana, nikiwaga chuo second year kuna mtoto alikua form 5 kisu hatari, alikuaga ananizungusha sana, yaani unaweza kupanda daladala mkakutane maeneo flani Mara hapatikani, Mara simu inaita tu, badae anakujibu simple tu "nilipitiwa na usingizi"
Nishawahi kukoswakoswa na mbwa kisa kumfuatilia yeye! Alikua anasoma TAMBAZA.
Hakakuja kangekuja ningekapiga withdraw ili niache memoryUngekapiga na ndomu tu haina haja ya kusubiri.
Nilikua namwambia tu "OK" kwaakili zake anajua mambo ndo yashaisha, kumbe huku moyoni na hasira kweli kweli.Ulikuw una react vip, hapo kwny simple reply Mkuu????
Kila mtu anapambana na hali yake mm nina mabinti pia najua uchungu wa mwana ila no way hivi vitu vipo ili vifanywe.Kwa hiyo wewe ni muharibifu siyo, sasa jiulize haya unayofanya kama njemba mwingine angemfanyia mwanao utajisikiaje? Laana zingine wazazi uchwara mnajipa wenyewe, shauri yako.
Yani hawafai ni zaidi ya pasua kichwa mm leo nmetoroka job ili tukutane saa sita but mpaka sasa kimya thats y I have let her go.Dah, umenikumbusha sana, nikiwaga chuo second year kuna mtoto alikua form 5 kisu hatari, alikuaga ananizungusha sana, yaani unaweza kupanda daladala mkakutane maeneo flani Mara hapatikani, Mara simu inaita tu, badae anakujibu simple tu "nilipitiwa na usingizi"
Nishawahi kukoswakoswa na mbwa kisa kumfuatilia yeye! Alikua anasoma TAMBAZA.
Wazee sitaki hata ndani kwangu wapo.Mi kizee mwenzio sema hilo suala la S7+ umenivutia nalo.