Kuwa na marafiki ukubwani kunapunguza msongo wa mawazo, usijifiche kwenye introvert

Kuwa na marafiki ukubwani kunapunguza msongo wa mawazo, usijifiche kwenye introvert

safuher

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
11,837
Reaction score
17,412
Marafiki sio watu unaojuana nao na kupiga stori,no no no,hao ni watu unaojuana nao,sio marafiki.

Rafiki ni mtu ambae unauwezo wa kumuambia jambo lako la siri na ukawa na AMANI kabisa kwamba hawez kulisema jambo hilo.

Wanaume tunapitia mengi sana kiasi kwamba kuna wakati unahitaji mtu wa kukaa naye na kuelezea hisia zako.

Hisia ni vitu na vinaoccupy space kwenye akili,hivyo unapokuwa na hisia zinazoumiza maana yake hivyo ni vitu vilivyo occupy nafasi katika ubongo,yaani vimechukua nafasi so lazima vikuumize.

KUzungumza hisia zako kunafanya upunguze vitu hivyo na hatimae kupunguza mzigo katika akili.

Mdomo ni uwazi unaopunguza vitu vilivyojaa akilini kama aambavyo tundu huvujisha maji yaliyojaa chomboni.

Ukiona umekaa na jambo lako zito la kimaisha linakutesa na kukupa hisia zinazoumiza basi make sure unaye rafiki wa kumuelezea shida zako akakusikiliza.

Kuna wakati baadhi ya mambo huwezi kumuambia mkeo lazima utafute mwanaume mwezio umchane ili nafsi itulie.

Tunawahitaji sana marafiki katika maisha yetu,marafiki ambao tuko free kuwaambia mambo yetu na kushea nao vitu mbalimbali.
 
Bora hata uwe na rafiki wa huku mtandaoni ndo ummwagie mambo yako kama shida ni kupunguza nyongo.....

Ila watu wa karibu ogopa, unamwangia ya moyoni unakua umetua mzigo nae anaenda kuyamwaga afu yanakurudia🤦🤦 stress++
 
Usithubutu kumwambia rafiki hovyo yanaweza kukukuta haya.
1 Kama ni matatizo ya mke unaweza kuja kukuta akamchukua mpenzi wako
2 Kama ni mambo ya kiuchumi mfano madeni anaweza kukutangaza.
3 Hata viingozi wa kanisa sikuhizi hasa wachungaji hawana friji moyoni ukiwaeleza jumapili ijayo stori yako inatolewa mfano kwenye mahubiri.
4 kama unaeleza kwaniaba kutoa vitu moyoni basi sawa lakini usitarajie viendelee kuwa siri.

Location : Modeko morogo
 
Marafiki sio watu unaojuana nao na kupiga stori,no no no,hao ni watu unaojuana nao,sio marafiki.

Rafiki ni mtu ambae unauwezo wa kumuambia jambo lako la siri na ukawa na AMANI kabisa kwamba hawez kulisema jambo hilo.

Wanaume tunapitia mengi sana kiasi kwamba kuna wakati unahitaji mtu wa kukaa naye na kuelezea hisia zako.

Hisia ni vitu na vinaoccupy space kwenye akili,hivyo unapokuwa na hisia zinazoumiza maana yake hivyo ni vitu vilivyo occupy nafasi katika ubongo,yaani vimechukua nafasi so lazima vikuumize.

KUzungumza hisia zako kunafanya upunguze vitu hivyo na hatimae kupunguza mzigo katika akili.

Mdomo ni uwazi unaopunguza vitu vilivyojaa akilini kama aambavyo tundu huvujisha maji yaliyojaa chomboni.

Ukiona umekaa na jambo lako zito layi kimaisha linakutesa na kukupa hisia zinazoumiza basi make sure unaye rafiki wa kumuelezea shida zako akakusikiliza.

Kuna wakati baadhi ya mambo huwezi kumuambia mkeo lazima utafute mwanaume mwezio umchane ili nafsi itulie.

Tunawahitaji sana marafiki katika maisha yetu,marafiki ambao tuko free kuwaambia mambo yetu na kushea nao vitu mbalimbali.
Siyo kila rafiki ni rafiki kweli wengine ni maadui wanakuja kwa sura za kirafiki pia
 
Sina marafiki ila nikifika kwenye banda la mpira mimi ni mfalme tunakaa na washikaji half time au full time tunachambua matukio ya mpira masiha binafsi na siasa na kupeana michongo hatujuani majina wala marital status zetu na story za mapenzi pamoja na kushare changamoto mbali mbali kazini kwetu hawana namba zangu sina namba zao sihitaji marafiki washkaji ambao nina mawasiliano nao ni wale ambao tumesoma wote primary school secondary school na chuo au tumekuwa wote mtaani na wengi ndio walikuja kwenye harusi bila kuwaalika walikuja kwenye mazishi ya baba yangu bila kuwapa taarifa kwa kusikia tu kwa watu wengine ila wale niliamini ndio marafiki licha ya kuwapa taarifa hawakufika kwenye tukio lolote lile zama za marafiki zimepitwa na wakati we have to mind our business.
 
Mkuu unazungumzia hawa hawa marafiki wanaosema kama wewe mwenyewe tu umeshindwa kukaa na siri zako hadi umemuambia yeye sasa yeye ni nani hadi akae nazo, kama utaona ni muhimu sana kuwa na marafiki basi kuwa makini katika kuchagua kama ambavyo taasisi za kiintelijensia zinachagua waajiriwa wake, ila kama hujui kuchagua marafiki kama mimi basi ni heri kuwa introvert tu tafuta njia nyingine ya kurelease stress zako ambayo haihusishi kabisa kuwaambia watu
 
Marafiki sio watu unaojuana nao na kupiga stori,no no no,hao ni watu unaojuana nao,sio marafiki.

Rafiki ni mtu ambae unauwezo wa kumuambia jambo lako la siri na ukawa na AMANI kabisa kwamba hawez kulisema jambo hilo.

Wanaume tunapitia mengi sana kiasi kwamba kuna wakati unahitaji mtu wa kukaa naye na kuelezea hisia zako.

Hisia ni vitu na vinaoccupy space kwenye akili,hivyo unapokuwa na hisia zinazoumiza maana yake hivyo ni vitu vilivyo occupy nafasi katika ubongo,yaani vimechukua nafasi so lazima vikuumize.

KUzungumza hisia zako kunafanya upunguze vitu hivyo na hatimae kupunguza mzigo katika akili.

Mdomo ni uwazi unaopunguza vitu vilivyojaa akilini kama aambavyo tundu huvujisha maji yaliyojaa chomboni.

Ukiona umekaa na jambo lako zito la kimaisha linakutesa na kukupa hisia zinazoumiza basi make sure unaye rafiki wa kumuelezea shida zako akakusikiliza.

Kuna wakati baadhi ya mambo huwezi kumuambia mkeo lazima utafute mwanaume mwezio umchane ili nafsi itulie.

Tunawahitaji sana marafiki katika maisha yetu,marafiki ambao tuko free kuwaambia mambo yetu na kushea nao vitu mbalimbali.
Bado unakua. Nenda kijiweni piga stori rudi home piga usingizi. Mengine yote mbwembwe tu.
 
Mkuu unazungumzia hawa hawa marafiki wanaosema kama wewe mwenyewe tu umeshindwa kukaa na siri zako hadi umemuambia yeye sasa yeye ni nani hadi akae nazo, kama utaona ni muhimu sana kuwa na marafiki basi kuwa makini katika kuchagua kama ambavyo taasisi za kiintelijensia zinachagua waajiriwa wake, ila kama hujui kuchagua marafiki kama mimi basi ni heri kuwa introvert tu tafuta njia nyingine ya kurelease stress zako ambayo haihusishi kuwaambia watu
Hao watu wapo ila shida ni kwamba wachache sanaa
 
Back
Top Bottom