Kuwa na marafiki ukubwani kunapunguza msongo wa mawazo, usijifiche kwenye introvert

Kuwa na marafiki ukubwani kunapunguza msongo wa mawazo, usijifiche kwenye introvert

Rafiki mzuri niyule ambae ukijitazama kwenye kioo hakika unamuona yeye.
Rafiki bora niyule ambae huwezi kujitofautisha nae..yeye ndio wewe nawewe ndie yeye.
Sasa kwabahati mbaya sana duniani ni 2 kwa elfu1.
Ninjia ipi yakumpata rafiki
Huyo???????????????????
Njia nimoja tuu.
1=ukijitazama kwenye kioo umuone yeye.
🙏🙏🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom