hujamboNi matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
Love is a choice,not a feeling,Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
Hii mechi itakuwa kali sana.
🤣🤣🤣Kivumbi na jashoHii mechi itakuwa kali sana.
Kwa hiyo ndukula ya mwamba ni dhahiri kama ni maji yataruka sana🤣🤣🤣Kivumbi na jasho
Nyie wa mjini mliokulia sandals hzi dabi hamziweziKwa hiyo ndukula ya mwamba ni dhahiri kama ni maji yataruka sana
Em letaSuhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
tulia kwanza mshtakiwa ajitetee kidogo🤣Em leta
Em leta
🤣🤣tulia kwanza mshtakiwa ajitetee kidogo🤣
Yatatoka tu automaticallymaana machozi ya kulia sina.🙏
Mmshaanza kufukua makaburi🤣🤣Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea
Habari wana Jamii, Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu. Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu. Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza...www.jamiiforums.com
mbona hasemi sisi tunawaza mbali😂🤣🤣
Labda wameachana je?
Hahaa huu uzi nimeukumbuka.Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea
Habari wana Jamii, Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu. Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu. Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza...www.jamiiforums.com