Kuwa na mpenzi JF inawezekana 💕

Kuwa na mpenzi JF inawezekana 💕

Suhendra

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
1,625
Reaction score
3,307
Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya

Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.


Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda

Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa


Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
 
IMG-20240213-WA0585.jpg
 
Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya

Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.


Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda

Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa


Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
hujambo
 
Ni matumaini yangu nyote wazima wa Afya

Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.


Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda

Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa


Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
Love is a choice,not a feeling,
Feelings come and go,
Love is something we do,
not something happens to us.
 
success huja kwa njia nyingi na nyingi wapo ni za kificho au zisizo dhanika.
usiache chochote chema kinachokujia hata kama njia inayotumika ni isiyokuwa ni ya kawaida , kama hakitakufaa au hutakifaa kitapita kitakuacha ukingojea kinginecho.
kwa hio mleta mada wewe endelea tu, na ikawe heri kwenu.
 
Hahaa huu uzi nimeukumbuka.
Kama ni huyu wacha tu ajipatie bebe mupya anayempa furaha.
 
Back
Top Bottom