Kwamba amepata mchepuko au🤣🤣mbona hasemi sisi tunawaza mbali😂
habari yako To yeyeYatatoka tu automatically
Duh!Suhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
au ni raraa reree kamu-overdose likes🤣Kwamba amepata mchepuko au🤣🤣
raraa reree mtu mbad, anaanziaga mbali sana na likes zake adi mdada unajihisi uko heaven🤣🤣au ni raraa reree kamu-overdose likes🤣
.vunga.Ndoa Zina mambo mengiSuhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
Kwahiyo mleta mada anataka kuchepuka sio?.vunga.Ndoa Zina mambo mengi
Wacha na mimi nikae karibu yako huenda mimi ndio nikakudondokea.Wacha nikae vizuri humu labda na mimi ipo siku nitaleta uzi wa kudondokeana na mwana Jf👩❤️💋👨👩❤️💋👨
Achepuke tu aise kama anapata Amani.maisha ya ndoa ni nini kama hakuna furaha/upendo?Kwahiyo mleta mada anataka kuchepuka sio?
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
Nani ajuaye siku wala saa?kikubwa uhai TI 🥰🥰.Wacha na mimi nikae karibu yako huenda mimi ndio nikakudondokea.
😎
Acha ukudaSuhendra si umeolewa wewe?
Au niulete ule uzi uzuri wa jf nyuzi hazifutiki
Kwani mleta mada kisha pewa muongozo chief?
Ninachoamini huku kuna watu wana mahusiano..pengine walishaachana na wapenzi wao humu na kupata wapenzi wengine humu humu jf lakin huwezi sikia upuuzi wowote mara yule yuko hivi mara vile🙆♀️🐒🐒🐒.Mwisho wa siku mtakuja kuanikana hapa tutajua hadi lodge mliyoenda na hela mlizopeana…
Anyways Hongera diha❤️
Anataka kuanza kuleta mipasho.Acha ukuda