Kuwa na mpenzi JF inawezekana 💕

Mwisho wa siku mtakuja kuanikana hapa tutajua hadi lodge mliyoenda na hela mlizopeana…
Anyways Hongera diha❤️
Ninachoamini huku kuna watu wana mahusiano..pengine walishaachana na wapenzi wao humu na kupata wapenzi wengine humu humu jf lakin huwezi sikia upuuzi wowote mara yule yuko hivi mara vile🙆‍♀️🐒🐒🐒.

Basi tu kuna watu wanajitoa ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…