Kuwa na mpenzi JF inawezekana πŸ’•

kuumizwa mara nyingi zaid kunakupa uzoefu wa kukataliwa, kuachwa au kunyimwa na kunakuongezea ustahimilivu na ujasiri zaidi wa kuwa na yeyote umtakae, huku hata kama mmneachana uone ni jambo la kawaida tu, bila kujisjia vibaya na kukuacha bila maumivu yoyote moyoni....

pendaneni, msichokozane na Amani Ya Mungu iwe ndani yenu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…