mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
akichepuka ataongeza matatizoAcha ukuda
mimi namshauri asiendelee, kwa uelewa wangu mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akichepuka ataongeza matatizoAcha ukuda
Humu humu ambapo mtu mmoja ana I’d zaidi ya mbili🤔🤔..Ninachoamini huku kuna watu wana mahusiano..pengine walishaachana na wapenzi wao humu na kupata wapenzi wengine humu humu jf lakin huwezi sikia upuuzi wowote mara yule yuko hivi mara vile🙆♀️🐒🐒🐒.
Basi tu kuna watu wanajitoa ufahamu
Kuna ushirikina humu unaitwa multiple ID uskiage tu, mtu anakua na ID ya backup hiyo inakua friji haligandishi anakupopoa kimya kimyaNinachoamini huku kuna watu wana mahusiano..pengine walishaachana na wapenzi wao humu na kupata wapenzi wengine humu humu jf lakin huwezi sikia upuuzi wowote mara yule yuko hivi mara vile🙆♀️🐒🐒🐒.
Basi tu kuna watu wanajitoa ufahamu
Kuna wadada watatu humu wapo very decent na loyal pia wives materialsNi matumaini yangu nyote wazima wa Afya
Kama kuna mwenye changamoto na muombe kwa mungu ampe afya njema.
Moja kwa moja niingie kwenye, mada bila kupoteza muda
Kweli nime amini, mapenzi hayana formulae popote, saa yoyote unajikuta tu usha mpenda mtu 😘, Jamani mapenzi hayana stahaa
Naombeni ushari Niendelee ni ache na ogopa kumizwa bore maana machozi ya kulia sina.🙏
😀😀😀humu humu.Humu humu ambapo mtu mmoja ana I’d zaidi ya mbili🤔🤔..
Hongereni mwaya
Kama nyuzi zina uongo ndani yake? Pengine hayuko penzini/ hayuko ndoani?akichepuka ataongeza matatizo
mimi namshauri asiendelee, kwa uelewa wangu mdogo
Kila lenye heri kwenu..😀😀😀humu humu.
Hashtaglowkey
Hamna shida kabisa,, kijana asizingatiwe kwa hoja yakeAnataka kuanza kuleta mipasho.
Kwani akiolewa si yeye na akichepuka si ni yeye.shida iko wapi?
tunamshauri kulingana na maelezo yakeKama nyuzi zina uongo ndani yake? Pengine hayuko penzini/ hayuko ndoani?
Tanzania ina watu milioni 60 kama sijakosea😀😀Kuna ushirikina humu unaitwa multiple ID uskiage tu, mtu anakua na ID ya backup hiyo inakua friji haligandishi anakupopoa kimya kimya
Mkuu kwanini unalala peke yako?Wacha nikae vizuri humu labda na mimi ipo siku nitaleta uzi wa kudondokeana na mwana Jf👩❤️💋👨👩❤️💋👨