Kuwa na mpenzi JF inawezekana 💕

Kuwa na mpenzi JF inawezekana 💕

Ahsante kwa ushauri mzuri
kuumizwa mara nyingi zaid kunakupa uzoefu wa kukataliwa, kuachwa au kunyimwa na kunakuongezea ustahimilivu na ujasiri zaidi wa kuwa na yeyote umtakae, huku hata kama mmneachana uone ni jambo la kawaida tu, bila kujisjia vibaya na kukuacha bila maumivu yoyote moyoni....

pendaneni, msichokozane na Amani Ya Mungu iwe ndani yenu....
 
Back
Top Bottom